Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,077
- 4,523
- Thread starter
- #41
Hiyo 101:Unakuwa kama zezeta hivi.
2:Huwezi ukafanya lolote pasipo kibali cha aliyekupa limbwata,na ikitokea ukafanya lazima utampa taarifa.
3:Unawachukia sana nduguzo na kuwapenda ndugu wa mkeo.
4:Akikukosea nafsi inaanza kumtetea kabla hajaanza kujitetete yeye,hata ukimfumania humwachi nng'oo
5:Unamuona mzuri kuliko mwanamke yeyote duniani na unakuwa na wivu usio wa kawaida.
6:Unakuwa unapenda kumtajataja ukiwa na marafikizo ndugu nk.
7:Siku ukifurukuta ukaamua kumtimua akaondoka, unaanza kuumia wewe muda wote unakuwa unasubiri akutumie msg ya kukuomba msamaha,na msg ikiingia hata kama ulikuwa unaendesha gari utapaki pembeni uisome,(halafu unakutana na msg ya Vodacom)
8:Ukichepuka unakuwa huna hisia na huo mchepuko wako , utaenda kwa kulazimisha tu hivyohivyo huku ukijuta.
9:Ukipata mshahara au mauzo utamkabidhi yeye halafu wewe utakuwa unaomba kwake.
10: Utakuwa unapenda kwenda naye popote na usipoenda naye muda wote utakuwa unamtumia msg au kumpigia.
Sent using Jamii Forums mobile app
