Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,077
- 4,523
- Thread starter
- #21
HahahaHakuna limbwata hayo ni mahaba tu kama ya Lowasa, kugombea urais 2010.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaHakuna limbwata hayo ni mahaba tu kama ya Lowasa, kugombea urais 2010.
Naomba nikukutanishe na mke wangu umpe darsaKwa wanawake tuliokomaa kiakili hatutishiki na mume anaerudi usiku wa manane kwa maana inatafsiri yafuatayo; kwamba kurudi saa nane Ni wazi huko ulikokuwa haukuwa na mwanamke na Kama ulikuwa nae Basi hamjakutana kimwili, ama la mmekutana ila hamjachoshana, Ni ngumu sana kumuacha mwanamke/kimada wako kitandani saa tisa usiku eti unarudi kwa mkeo obviously utaona heri urudi asubuhi tu,
Kama ikiwa kinyume chake yani unae kimada na ukamuacha usiku mkubwa hivyo kuwahi kwa mkeo trust me unamuheshimu sana na kumuogopa mke wako, naamini mwanaume wa kurudi usiku mnene Ni ama iwe tabia yake au kapata dharula ila siaminigi kuwa eti katokea kwa kimada, kuliko wanaorudi ndani saa mbili mpaka saa tatu usiku hao wengi wanakuwaga na vimada Tena wamevipangia na nyumba kabisa km mke
Kurudi usiku mnene natafsiri Kama heshima kwa mke, kuliko kurudi asbh
Nimebahatisha tu, ila mlete haina kabayaNaomba nikukutanishe na mke wangu umpe darsa
Hii comment imefanya nitamani kuoaKwa wanawake tuliokomaa kiakili hatutishiki na mume anaerudi usiku wa manane kwa maana inatafsiri yafuatayo; kwamba kurudi saa nane Ni wazi huko ulikokuwa haukuwa na mwanamke na Kama ulikuwa nae Basi hamjakutana kimwili, ama la mmekutana ila hamjachoshana, Ni ngumu sana kumuacha mwanamke/kimada wako kitandani saa tisa usiku eti unarudi kwa mkeo obviously utaona heri urudi asubuhi tu,
Kama ikiwa kinyume chake yani unae kimada na ukamuacha usiku mkubwa hivyo kuwahi kwa mkeo trust me unamuheshimu sana na kumuogopa mke wako, naamini mwanaume wa kurudi usiku mnene Ni ama iwe tabia yake au kapata dharula ila siaminigi kuwa eti katokea kwa kimada, kuliko wanaorudi ndani saa mbili mpaka saa tatu usiku hao wengi wanakuwaga na vimada Tena wamevipangia na nyumba kabisa km mke
Kurudi usiku mnene natafsiri Kama heshima kwa mke, kuliko kurudi asbh
Oa tu mkuu, usinisahau kadiHii comment imefanya nitamani kuoa
Mwanamke mwenye akili kama hizi ?
Shukrani nilipo pananitosha kabisa labda nikuangazie kwa majirani
😂😂😂Sawa mume wa akibaUwe tu na uhakika ni mkomavu japo nusu yako, ooh yeah nifanyie wepesi.
Zingatia mume wa akiba!
ndio maana kuna msemo huwa wanasema...mtu akiwa kichaa hawezi kujitambua ila wa karibu yake watamtambua vizuri mno!ukipewa limbwata wewe huoni kama ni linbwata lakini watu wako wa karibu ndio watajua huo upendo kuna la ziada
sahihi kabisandio maana kuna msemo huwa wanasema...mtu akiwa kichaa hawezi kujitambua ila wa karibu yake watamtambua vizuri mno!
Dalili 7 za mwanaume aliyelishwa limbwata.Aisee wanajamvi nashindwa kuelewa kama ni upendo pekee au kuna kichochezi..
Huyu mwanamke Mama watoto wangu kila kitu anachotaka kutoka kwangu ninampatia kwa gharama yoyote ile.
Akinikwaza kidogo tu nikimwambia akijibu tu ninatulia, kila akisema jambo namsikiliza.
Yaani napoteza sauti yangu taratibu juu yake. Ndugu zangu hebu niambieni mtu aliyepewa limbwata anakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Daa mkuu hyo no 7 nmecheka sana aisee1:Unakuwa kama zezeta hivi.
2:Huwezi ukafanya lolote pasipo kibali cha aliyekupa limbwata,na ikitokea ukafanya lazima utampa taarifa.
3:Unawachukia sana nduguzo na kuwapenda ndugu wa mkeo.
4:Akikukosea nafsi inaanza kumtetea kabla hajaanza kujitetete yeye,hata ukimfumania humwachi nng'oo
5:Unamuona mzuri kuliko mwanamke yeyote duniani na unakuwa na wivu usio wa kawaida.
6:Unakuwa unapenda kumtajataja ukiwa na marafikizo ndugu nk.
7:Siku ukifurukuta ukaamua kumtimua akaondoka, unaanza kuumia wewe muda wote unakuwa unasubiri akutumie msg ya kukuomba msamaha,na msg ikiingia hata kama ulikuwa unaendesha gari utapaki pembeni uisome,(halafu unakutana na msg ya Vodacom)
8:Ukichepuka unakuwa huna hisia na huo mchepuko wako , utaenda kwa kulazimisha tu hivyohivyo huku ukijuta.
9:Ukipata mshahara au mauzo utamkabidhi yeye halafu wewe utakuwa unaomba kwake.
10: Utakuwa unapenda kwenda naye popote na usipoenda naye muda wote utakuwa unamtumia msg au kumpigia.

,yaan msg inaingia unapaki gari pembeni kwa ajiili ya kuiosoma daa