ndio niniMm libwata hainiingia akilini kabixaaaa. yan ni amke asubuhi nifagie uwanja sijui vyombo na akilizangu hizii😂😂😂😂 ww umepewa vya mwikoo labdaa
Kumbeee. Dah basi mshikaji wangu kwisha.Ukiona mtu ni mkali barabarani Ila nyumbani kimya ujue tayari.