Siku nyingine tangazo kama hili ungeliandika kwa kingereza halafu ungelitafsiri kwa kiswahili ili kuonyesha msisitizo.Kama tujuavyo Teknolojia inaturahishia kujifunza Mambo mbali Bila kukaa darasani,
Hivyo Basi kwa yule ambaye atahitaji kujifunza lugha Hii adhimu kwa ajili ya mahitaji yake Binafsi kama vile biashara, masomo , mahusiano , dini n.k
Basi tuwasiliane PM,
Masomo Yetu yako kwa njia ya WhatsApp na sio group Bali ni individual classes kutokana na mahitaji ya mhusika,
Hakuna utapeli Wala ubabaishaji njoo tuyajenge
Sina haja ya kujionyesha hapa,Siku nyingine tangazo kama hili ungeliandika kwa kingereza halafu ungelitafsiri kwa kiswahili ili kuonyesha msisitizo.
Siku nyingine tangazo kama hili ungeliandika kwa kingereza halafu ungelitafsiri kwa kiswahili ili kuonyesha msisitizo.
Kila la kheri mkuu...Sina haja ya kujionyesha hapa,
Kwa wale ambao naendelea nao wanaweza kuwa mashahidi..
Njoo pm mkuu ..kama unahitaji