Anayehitaji kufundishwa lugha ya kingereza kuongea na kuandika tuwasiliane

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,723
5,899
Kama tujuavyo Teknolojia inaturahishia kujifunza Mambo mbali Bila kukaa darasani,


Hivyo Basi kwa yule ambaye atahitaji kujifunza lugha Hii adhimu kwa ajili ya mahitaji yake Binafsi kama vile biashara, masomo , mahusiano , dini n.k

Basi tuwasiliane PM,

Masomo Yetu yako kwa njia ya WhatsApp na sio group Bali ni individual classes kutokana na mahitaji ya mhusika,

Hakuna utapeli Wala ubabaishaji njoo tuyajenge
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom