swahibu ramadhani
Member
- Apr 30, 2021
- 49
- 28
Najua nimeeleweka hapo juu. Shida yangu kuu niupande wa lugha ya kingereza ndo nakwama sana. Naomba msaada wenu tafadhali. Wakuu.
Me Niko Arusha mkuu.Uko wapi? Au unataka kujifunzia online?
Umri wangu Nina miaka 22. MkuuMmm Una umri gani maana nasikia kuna umri hata ubongo ukiwa tayari koo ama voice box linakataa Kata Kata . Good luck anyway
Yani me siwezi ndo maana nikaomba msaada mkuu.Unataka mtu wa kupractice naye kuongea na kuandika kama kutumiana texts hivi?
Yaani huwezi kabisa kama mtoto anayeanza kujifunza a e i...? Nilidhani unajua kidogo ili tuwe tunapractice kwa kuongea na kuandika sometimes 🤔Yani me siwezi ndo maana nikaomba msaada mkuu.
Online inapendeza au angekuwa Arusha ingependeza zaidiUnataka kufundishwa kwa njia ipi?
Kumbe mkuu ulimanisha hivyo. Hiyo naweza kidogo.Yaani huwezi kabisa kama mtoto anayeanza kujifunza a e i...? Nilidhani unajua kidogo ili tuwe tunapractice kwa kuongea na kuandika sometimes
Kama mkuu ni hiyo naweza kidogo.Yaani huwezi kabisa kama mtoto anayeanza kujifunza a e i...? Nilidhani unajua kidogo ili tuwe tunapractice kwa kuongea na kuandika sometimes
SawaOnline inapendeza au angekuwa Arusha ingependeza zaidi
Nicheki mkuuWe chalii unae jax nikufundishe? Uwe unakuja hapa backtown Ngarenaro nikupigishe pindi.
Hapana mkuu ni Mambo yakazi na kwama sana.Eeeeeh umepata demu wa kizunguu nini mkulungwa
Napataje msaada wako mkuu.Sawa
Mkuu unakwama wapi?Najua nimeeleweka hapo juu. Shida yangu kuu niupande wa lugha ya kingereza ndo nakwama sana. Naomba msaada wenu tafadhali. Wakuu.