Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,359
Hayo ndo mapenzi ya siku hizi hakuna kupendana kwa dhati ni kudo na kula kona.
Huo ndo ukweli ukimmalizia shida yake kwa sasa mumewe akirudi atamwambia
darling nilikumiss mbaya mbovu kumbe hola kashado na Shark na anachuna
Habari ndo hiyo........
Ila mke wa mtu sumu shark oooohhhhh
Upo Dena Amsi mpe kijana mausia maana ni kama kesha amua kujiachia.
Dah,
Ukweli nikimkatalia napo pengine ndio mwisho wa kujihusisha nae kibiashara.
Nahisi nifumbe tu macho, but only once!!
Hapa kashaamua si unamuona hapa chini sijui anataka ushauri gani tena
Labda anatakawa wanaJF tumbariki wakati uwezo huo hatuna tehe tehe tehe.
Hiyo haisaidii akisema mtumie zana utasemaje? Hebu mwambie ukweli tu achana na mambo ya kudanganya oo safafi, oo mwathirika, oo hivi oo vile. Mwambie ukweli. Biblia inasema ukweli utakuweka huru.Yeah,
Ndio maana nikafikiria ya kudanganya kua mimini victim wa HIV.
Yes sio wote
lakini hapa kuna trap...
hii inaitwa 'vagina trap'
ama mwanamke atataka kumdhibiti kwa sababu ya 'bussiness' wanazofanya
au atataka kulipia baadhi ya madeni kwa sex....
Acha utoto ndugu yangu kuwa na msimamo kufumba macho nini bwana. Hebu ikimbie zinaa shauri zako ukifanya moyo wako kuwa mgumu yatakayokupata ujilaumu mwenyewe. Maana kaka zako tunaojua mambo hayo tumekushauri inaonekana ibilisi ameisha kuingia. Haya bwana wetu ushauri uamuzi wa mwisho unao wewe.Dah,
Ukweli nikimkatalia napo pengine ndio mwisho wa kujihusisha nae kibiashara.
Nahisi nifumbe tu macho, but only once!!
Shark kaleta taarifa sio anaomba ushauri ama???
Anaomba ushauri ili ale tunda au asile, lakini moyo umeridhi kiwiliwili kinagoma.
Tumuombeee.
Chukulia ume do nae
na ukamkopesha pesa
jiulize....asipokulipa utamdai?????????/
Good!
Hiyo ya kudanganya ni kuahirisha tatizo, ni bora umwambie ukweli; mwambie unamthamini kiasi cha kutosha kiasi kwamba huwezi kumreduce kwa one night stand, kwamba unamuheshimu mumewe kiasi kwamba hutaki kumsaliti na kuwa unampenda kiasi cha kutotaka mahusiano yenu yawe compromised kwa sex na vitu vinavyoambatana navyo. Mwambie unaelewa they way anafeel, na kwamba hadi kukueleza shida yake inamaana anakuamini; mwambie hautajali kama atatafuta solution nyingine/kungine na kwamba hautainterfere kabisa.
Say it in a way ambayo itaonesha unajali na unamuelewa.
Sio uchaga
uzoefu wangu
kwa wanawake pesa na vagina ina thamani sawa
hawezi kukupa vyoote
lazima kimoja kifidie kingine lol