Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,423
- 29,084
Hello Wanabodi,
Kuna mdada mmoja ambae amekua rafiki yangu kwa muda mrefu sana. Huyu dada tumekua tukifanya biashara mbalimbali za hapohapo (deals) pamoja kwa muda mrefu tu.
Ni kawaida nikiwa na deal namuita chemba labda guest, bar, hotel, kwake, kwangu, beach n.k tunaongea, nae hivyohivyo, tuko kifedha tu. Pia anaweza akawa ama shida ya Tshs kadhaa nikamkopa, nami pia hivyo. Anamjua Gf wangu, nami namjua Mumewe. Sijawahi kum-feel kimapenzi (sijui upande wake)
Sasa jana akaniita chemba (hotelini) tuongee kwani kuna issue/biashara anataka anipe. Kukutana nae zikaanza story za hapa na pale, huku tukijaribu kukumbushiana biashara zilizopita zilivyofanikiwa na nyingine zilivyofeli.
Story zilikua nyingi sana huku akikawia kwenda kwenye point (sio kawaida).
Baadae ndio akadai eti mumewe kasafiri mwezi wa pili sasa hivyo haja-do muda mrefu na anaskia SANA hamu. Alidai yuko serious na nichukulie kama namsaidia tu kama rafiki. Nilimuuliza kama ana feelings zozote za Mapenzi kwangu akadai ananichukulia kama kaka tu ma mshirika wake wa karibu. Aliniambia nisimuangushe, na ananipa Jana mpaka leo kujiandaa, but leo jioni KUSAIDIANA TIME!!
Nimemuuliza hatanogewa akataka tena, na mumewe akijua itakuaje akajibu nichukulie kama ni ombi la kawaida tu kama mengine ya kusaidiana kifedha. Hivyo ya mumewe nimuachie mwenyewe.
Wanabodi,
Leo jioni ndio time, mdada ni best yangu sana, tuseme tunawekana mjini kwa Biashara tufanyazo,
Ushauri wenu.
1) Nikamsaidie shida yake??
2) Ku-do bila kua kwenye mahusiano kuna ladha gani??
3) Any other ushauri!!
Kuna mdada mmoja ambae amekua rafiki yangu kwa muda mrefu sana. Huyu dada tumekua tukifanya biashara mbalimbali za hapohapo (deals) pamoja kwa muda mrefu tu.
Ni kawaida nikiwa na deal namuita chemba labda guest, bar, hotel, kwake, kwangu, beach n.k tunaongea, nae hivyohivyo, tuko kifedha tu. Pia anaweza akawa ama shida ya Tshs kadhaa nikamkopa, nami pia hivyo. Anamjua Gf wangu, nami namjua Mumewe. Sijawahi kum-feel kimapenzi (sijui upande wake)
Sasa jana akaniita chemba (hotelini) tuongee kwani kuna issue/biashara anataka anipe. Kukutana nae zikaanza story za hapa na pale, huku tukijaribu kukumbushiana biashara zilizopita zilivyofanikiwa na nyingine zilivyofeli.
Story zilikua nyingi sana huku akikawia kwenda kwenye point (sio kawaida).
Baadae ndio akadai eti mumewe kasafiri mwezi wa pili sasa hivyo haja-do muda mrefu na anaskia SANA hamu. Alidai yuko serious na nichukulie kama namsaidia tu kama rafiki. Nilimuuliza kama ana feelings zozote za Mapenzi kwangu akadai ananichukulia kama kaka tu ma mshirika wake wa karibu. Aliniambia nisimuangushe, na ananipa Jana mpaka leo kujiandaa, but leo jioni KUSAIDIANA TIME!!
Nimemuuliza hatanogewa akataka tena, na mumewe akijua itakuaje akajibu nichukulie kama ni ombi la kawaida tu kama mengine ya kusaidiana kifedha. Hivyo ya mumewe nimuachie mwenyewe.
Wanabodi,
Leo jioni ndio time, mdada ni best yangu sana, tuseme tunawekana mjini kwa Biashara tufanyazo,
Ushauri wenu.
1) Nikamsaidie shida yake??
2) Ku-do bila kua kwenye mahusiano kuna ladha gani??
3) Any other ushauri!!