Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 2,667
- 2,128
Mkuu,
Muda bado, mpaka jioni. But kuna % kubwa sintoenda!! Kusaidiana kuondoa hamu bila kua na mahusiano sidhani kama imo!!
Ha haaa acha uvivu bana ,niweke hapo kama vipi.
Mkuu,
Muda bado, mpaka jioni. But kuna % kubwa sintoenda!! Kusaidiana kuondoa hamu bila kua na mahusiano sidhani kama imo!!
Yeye anakuchukulia kama Kaka ila wewe unamuona Best yako mno! Ukamuuliza kuhusu feelings za mapenzi na mara mume wake akijua itakuwaje, yote haya ya nini? Hili jukwaa ni la Great Thinkers bwana, acha kuzuga. Wewe ndio unamtaka huyo dada ila hapa umewasilisha kinyume chake! Sasa kama yeye anakuchulia kama kaka yake, mbona ulimuuliza maswali ya kuzunguka badala ya kumchapa swali moja tu la msingi, amablo ni " Hivi inawezekanaje Kaka akatenda tendo la ndoa na Dada yake?"? Kama hili swali hukumuuliza, what a contradiction! Peleka upuuzi wako kwenu!
Sasa si nimeshakupa jibu? Maneno ya nini? Jioni usiende ila mpigie simu umuulize, "Inawezekanaje kaka ku-sex na dada yake?". Bila hivyo usitusumbue maana unaonekana na wewe mate yanakutoka kama Mr. Hyena aliyeona mzoga!Kaka,
Mimi pia Namchukulia kama best tu, na mshirika kibiashara including some deals ambazo sio poa kuzitaja hapa.!
Yeye anakuchukulia kama Kaka ila wewe unamuona Best yako mno! Ukamuuliza kuhusu feelings za mapenzi na mara mume wake akijua itakuwaje, yote haya ya nini? Hili jukwaa ni la Great Thinkers bwana, acha kuzuga. Wewe ndio unamtaka huyo dada ila hapa umewasilisha kinyume chake! Sasa kama yeye anakuchulia kama kaka yake, mbona ulimuuliza maswali ya kuzunguka badala ya kumchapa swali moja tu la msingi, amablo ni " Hivi inawezekanaje Kaka akatenda tendo la ndoa na Dada yake?"? Kama hili swali hukumuuliza, what a contradiction! Peleka upuuzi wako kwenu!
Dah,
Ukweli nikimkatalia napo pengine ndio mwisho wa kujihusisha nae kibiashara.
Nahisi nifumbe tu macho, but only once!!
Dah,
Ukweli nikimkatalia napo pengine ndio mwisho wa kujihusisha nae kibiashara.
Nahisi nifumbe tu macho, but only once!![/QUOTE]
Kumbe ushapata maamuzi blue inahusika sana
rafiki wewe mchaga?Chukulia ume do nae
na ukamkopesha pesa
jiulize....asipokulipa utamdai?????????/
rafiki wewe mchaga?
sio wanawake wote lakini.Sio uchaga
uzoefu wangu
kwa wanawake pesa na vagina ina thamani sawa
hawezi kukupa vyoote
lazima kimoja kifidie kingine lol
sio wanawake wote lakini.
nimeuliza hivyo sababu hujataja consequence nyingine ya kufanya hivyo zaidi ya kudai hela yake
Shark acha uwoga kapige kitu kama ipo mahali yake.Hello Wanabodi,
Kuna mdada mmoja ambae amekua rafiki yangu kwa muda mrefu sana. Huyu dada tumekua tukifanya biashara mbalimbali za hapohapo (deals) pamoja kwa muda mrefu tu.
Ni kawaida nikiwa na deal namuita chemba labda guest, bar, hotel, kwake, kwangu, beach n.k tunaongea, nae hivyohivyo, tuko kifedha tu. Pia anaweza akawa ama shida ya Tshs kadhaa nikamkopa, nami pia hivyo. Anamjua Gf wangu, nami namjua Mumewe. Sijawahi kum-feel kimapenzi (sijui upande wake)
Sasa jana akaniita chemba (hotelini) tuongee kwani kuna issue/biashara anataka anipe. Kukutana nae zikaanza story za hapa na pale, huku tukijaribu kukumbushiana biashara zilizopita zilivyofanikiwa na nyingine zilivyofeli.
Story zilikua nyingi sana huku akikawia kwenda kwenye point (sio kawaida).
Baadae ndio akadai eti mumewe kasafiri mwezi wa pili sasa hivyo haja-do muda mrefu na anaskia SANA hamu. Alidai yuko serious na nichukulie kama namsaidia tu kama rafiki. Nilimuuliza kama ana feelings zozote za Mapenzi kwangu akadai ananichukulia kama kaka tu ma mshirika wake wa karibu. Aliniambia nisimuangushe, na ananipa Jana mpaka leo kujiandaa, but leo jioni KUSAIDIANA TIME!!
Nimemuuliza hatanogewa akataka tena, na mumewe akijua itakuaje akajibu nichukulie kama ni ombi la kawaida tu kama mengine ya kusaidiana kifedha. Hivyo ya mumewe nimuachie mwenyewe.
Wanabodi,
Leo jioni ndio time, mdada ni best yangu sana, tuseme tunawekana mjini kwa Biashara tufanyazo,
Ushauri wenu.
1) Nikamsaidie shida yake??
2) Ku-do bila kua kwenye mahusiano kuna ladha gani??
3) Any other ushauri!!
ha haaaaaaaaa, akili kichwani, kama unampata wa kumzidi akili why not?Yes sio wote
lakini hapa kuna trap...
hii inaitwa 'vagina trap'
ama mwanamke atataka kumdhibiti kwa sababu ya 'bussiness' wanazofanya
au atataka kulipia baadhi ya madeni kwa sex....
Matola umenichekesha sana!!!!!!Kama hili nalo unahitaji ushauri sasa sipati picha ukipatwa na tatizo linalohitaji kweli ushauri sijui itakuwaje!!??