Anataka to-do, But No Love Relationship!!

kumbe ushacheza mpk dili la kufumania??hujawah kuckia a conman get conned??usitake balaa mkuu km nlivokwambia we co chombo cha sex funga mjadala
 
Yeye anakuchukulia kama Kaka ila wewe unamuona Best yako mno! Ukamuuliza kuhusu feelings za mapenzi na mara mume wake akijua itakuwaje, yote haya ya nini? Hili jukwaa ni la Great Thinkers bwana, acha kuzuga. Wewe ndio unamtaka huyo dada ila hapa umewasilisha kinyume chake! Sasa kama yeye anakuchulia kama kaka yake, mbona ulimuuliza maswali ya kuzunguka badala ya kumchapa swali moja tu la msingi, amablo ni " Hivi inawezekanaje Kaka akatenda tendo la ndoa na Dada yake?"? Kama hili swali hukumuuliza, what a contradiction! Peleka upuuzi wako kwenu!

Kaka,
Mimi pia Namchukulia kama best tu, na mshirika kibiashara including some deals ambazo sio poa kuzitaja hapa.!
 
Kaka,
Mimi pia Namchukulia kama best tu, na mshirika kibiashara including some deals ambazo sio poa kuzitaja hapa.!
Sasa si nimeshakupa jibu? Maneno ya nini? Jioni usiende ila mpigie simu umuulize, "Inawezekanaje kaka ku-sex na dada yake?". Bila hivyo usitusumbue maana unaonekana na wewe mate yanakutoka kama Mr. Hyena aliyeona mzoga!
 
Yeye anakuchukulia kama Kaka ila wewe unamuona Best yako mno! Ukamuuliza kuhusu feelings za mapenzi na mara mume wake akijua itakuwaje, yote haya ya nini? Hili jukwaa ni la Great Thinkers bwana, acha kuzuga. Wewe ndio unamtaka huyo dada ila hapa umewasilisha kinyume chake! Sasa kama yeye anakuchulia kama kaka yake, mbona ulimuuliza maswali ya kuzunguka badala ya kumchapa swali moja tu la msingi, amablo ni " Hivi inawezekanaje Kaka akatenda tendo la ndoa na Dada yake?"? Kama hili swali hukumuuliza, what a contradiction! Peleka upuuzi wako kwenu!

Kaka,
Mimi pia Namchukulia kama best tu, na mshirika kibiashara including some deals ambazo sio poa kuzitaja hapa.!

Yeye hachukulii kama vile sex as others think that should be done secretly, anadai ni sawa na tunavyokutanaga mahali tunakunywa huku tukipeana deal.

Sometimes twaendaga hata beach kuogelea but for business purposes, so this will be part of it. Kibaya zaidi ananiambia ana issue anataka aniambie but anahisi hayuko OK kutokana na kutoku-do muda mrefu!!
Mchana huu anani-text naenda saa ngapi, sijajibu bado.
 
Hakuna urafiki kati ya me na ke...hata ukiwa in the name of biashara mwisho wake ndio kama huu.

Stay away from jinsia nyingine. Shetani mnamtafutaga wenyewe!
 
Hayo ndo mapenzi ya siku hizi hakuna kupendana kwa dhati ni kudo na kula kona.

Huo ndo ukweli ukimmalizia shida yake kwa sasa mumewe akirudi atamwambia
darling nilikumiss mbaya mbovu kumbe hola kashado na Shark na anachuna
Habari ndo hiyo........

Ila mke wa mtu sumu shark oooohhhhh
 
Sio uchaga
uzoefu wangu
kwa wanawake pesa na vagina ina thamani sawa
hawezi kukupa vyoote
lazima kimoja kifidie kingine lol
sio wanawake wote lakini.
nimeuliza hivyo sababu hujataja consequence nyingine ya kufanya hivyo zaidi ya kudai hela yake
 
sio wanawake wote lakini.
nimeuliza hivyo sababu hujataja consequence nyingine ya kufanya hivyo zaidi ya kudai hela yake

Yes sio wote
lakini hapa kuna trap...
hii inaitwa 'vagina trap'
ama mwanamke atataka kumdhibiti kwa sababu ya 'bussiness' wanazofanya
au atataka kulipia baadhi ya madeni kwa sex....
 
Hello Wanabodi,

Kuna mdada mmoja ambae amekua rafiki yangu kwa muda mrefu sana. Huyu dada tumekua tukifanya biashara mbalimbali za hapohapo (deals) pamoja kwa muda mrefu tu.

Ni kawaida nikiwa na deal namuita chemba labda guest, bar, hotel, kwake, kwangu, beach n.k tunaongea, nae hivyohivyo, tuko kifedha tu. Pia anaweza akawa ama shida ya Tshs kadhaa nikamkopa, nami pia hivyo. Anamjua Gf wangu, nami namjua Mumewe. Sijawahi kum-feel kimapenzi (sijui upande wake)

Sasa jana akaniita chemba (hotelini) tuongee kwani kuna issue/biashara anataka anipe. Kukutana nae zikaanza story za hapa na pale, huku tukijaribu kukumbushiana biashara zilizopita zilivyofanikiwa na nyingine zilivyofeli.

Story zilikua nyingi sana huku akikawia kwenda kwenye point (sio kawaida).

Baadae ndio akadai eti mumewe kasafiri mwezi wa pili sasa hivyo haja-do muda mrefu na anaskia SANA hamu. Alidai yuko serious na nichukulie kama namsaidia tu kama rafiki. Nilimuuliza kama ana feelings zozote za Mapenzi kwangu akadai ananichukulia kama kaka tu ma mshirika wake wa karibu. Aliniambia nisimuangushe, na ananipa Jana mpaka leo kujiandaa, but leo jioni KUSAIDIANA TIME!!

Nimemuuliza hatanogewa akataka tena, na mumewe akijua itakuaje akajibu nichukulie kama ni ombi la kawaida tu kama mengine ya kusaidiana kifedha. Hivyo ya mumewe nimuachie mwenyewe.

Wanabodi,
Leo jioni ndio time, mdada ni best yangu sana, tuseme tunawekana mjini kwa Biashara tufanyazo,

Ushauri wenu.
1) Nikamsaidie shida yake??
2) Ku-do bila kua kwenye mahusiano kuna ladha gani??
3) Any other ushauri!!
Shark acha uwoga kapige kitu kama ipo mahali yake.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom