Ushauri wachana na mke wa mtu, kama ana nyege mwambie asubiri mpaa mme wake aje, kama hawezi akjitibu hospital wanawake wengi wenye manyege yanamna hio wameisha tibiwa.
Kama una wasiwasi,ni pm mawasiliano yake, I will be pleased to be of help to her!, nina roho nzuri sana na kusaidia watu umekuwa ni wito wangu wa muda mrefu
Jamani biashara zingine ni siri ati, sasa mtafanya vipi deal ya kuuza Uranium peupe pee; lazima mtafute pa kujificha!.vitu vingine ni kujitakia..yani maongezi ya biashara mnakutana vyumbani peke yenu. Kwanini usiweke mipaka kati ya kazi na mapenzi? vile vile kuzuia mazingira hatarishi kama mkutanapo.
kama una hamu malizana na gf wako, huyo mke wa mtu acha kabisa!
Chukulia ume do nae
na ukamkopesha pesa
jiulize....asipokulipa utamdai?????????/
Kama una wasiwasi,ni pm mawasiliano yake, I will be pleased to be of help to her!, nina roho nzuri sana na kusaidia watu umekuwa ni wito wangu wa muda
mkuu kumbe una roho nzuri hivyo? ubarikiwe sana.
Jamani biashara zingine ni siri ati, sasa mtafanya vipi deal ya kuuza Uranium peupe pee; lazima mtafute pa kujificha!.
Mnakuwa kibiashara zaidi..na mke wa mtu??? hamadi kibindoni!!..he he
Hakuna urafiki kati ya me na ke...hata ukiwa in the name of biashara mwisho wake ndio kama huu.
Stay away from jinsia nyingine. Shetani mnamtafutaga wenyewe!
hapo napingana nawe hadi pumzi yangu ya mwisho.
Ninao marafiki wa kike wengi sana ambao tuna heshimiana
sana.
Usiusemee moyo wa mwenzio...wewe ndio unawaheshimu...at least for the time being.
Ngoja wakutokee uje na uzi hapa.
Kwani huyu mleta mada urafiki wameanza leo? Kwani alijua kuwa atamtaka?
Ni matter of time. Utaja tuambia...kama utasema lakini. Lol.