Haki ya Mungu sijamla.
Tumekubaliana tukutane leo jioni.
Nafikiria kumwambia nimepata msiba wa ghafla Morogoro kisha nikakata ticket ya kizushi.
Aliniambia nichukulie tu kama shida zengine ya kifedha tinazosaidianaga na kua eti sisi ndio tuna-complicate wakati ni issue ndogo tu.
Nimejaribu kutafuta consultations from my friend, nikaambiwa nimwambie kua mimi ni muathirika labda araniacha, napo naona sio poa kusingizia huu ugonjwa,
Ila ukweli SIJAMLA!!
Kuna mdada aligharimia mpaka harusi ya serengeti boy wake...ingawa wengi walikuwa wanajua ni business partner.
Mke wa serengeti boy kuja kugundua kuwa bidada hakuwa 'wifi' kweli it was too late.
Huyu sugar mummy alishakufa na ngoma kwa sasa...maana sifa ya ma sugar mummy hawanaga serengeti moja.
This is a true story na huyu sugar mummy was my sister's friend.
Huwa wanaangaika kwa kuwa wengi waume zao wana pesa sana lakini hawawezi kazi za 6X6...kaa ukijua mtakuwa mnapangwa ndio maana kasema kabisa no love ni sex.
sema tunakukoma humu ndani The Boss!ila kimsingi napenda sana nyumba kubwa alivyo huru!safi mdada tukomeshe tu mwaya,mambo ya kuremba nini ili kiwe nini?Jnsi unavyoongea bila kuremba
nahisi kuna watu wanakukoma humu basi tu lol
sema tunakukoma humu ndani The Boss!ila kimsingi napenda sana nyumba kubwa alivyo huru!safi mdada tukomeshe tu mwaya,mambo ya kuremba nini ili kiwe nini?
Ha ha haa
na mimi pia?
hata wewe ukitulia una point za kufa mtu
im humbled mkuu!itabidi niache moja mbili tatu ndo mipwenti ishuke safi enh?!
Huwa una logg in na mbili tatu kichwani?