Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
Hayo ndo mapenzi ya siku hizi hakuna kupendana kwa dhati ni kudo na kula kona.
Huo ndo ukweli ukimmalizia shida yake kwa sasa mumewe akirudi atamwambia
darling nilikumiss mbaya mbovu kumbe hola kashado na Shark na anachuna
Habari ndo hiyo........
Ila mke wa mtu sumu shark oooohhhhh
Upo Dena Amsi mpe kijana mausia maana ni kama kesha amua kujiachia.
Last edited by a moderator: