Anataka mchukua mwanangu kinyemela

Mpe tu kwakua hanyonyi tena sehemu kubwa ya uhai wamtoto itakua ni jukum lake pamoja na kimsomesha haitakuhusu ,,, hata kama hakutoa matumizi ila kwasasa ni muda wake na yeye alee na asomeshe kama ameridhia uzuri mtoto hatakuja kukusahau kwahiyo usijal
 
Haki??? Mtoto anapaswa kupewa haki yake tangu siku ya kwanza mimba imetungwa. Na huyo dada alipewa haki gani na huyo mwanaume?
 
Achana na hilo jisengerema wewe,unakua boooooya!!sasa limtu lilikumwagia utamu Kisha likasepa alafu wewe Leo unataka kurikabidhi mtoto?
Walah ata shetani atakushangaa!!
Leo mwanao.
 
Una akili sana...umeongea kitu kikubwa cha hekima ila huyu dada alivyo mjinga ataangalia ppst za watu wanaomsapport ujinga wake....
Kuna kauli huwa inasema...
A child of divorced parents tend to they are failed marriage...
Yaani hapa naona uchungu kwa huyo mtoto, maana watu wengi hapa wanachangia hawajui mateso unayo pata moyoni ukilelewa na mzazi mmoja wakati mwingine bado anaishi.
 
No bado mdogo,yuko under age
 
Sielewi wakati baba yangu alinikataa hujui unacho kiongea ww
 
Sielewi wakati baba yangu alinikataa hujui unacho kiongea ww
Baba yako kukukataa unafurahia au? Baba yako na baba wa huyo mtoto wamefanana..na dawa yao ni kunyimwa watoto.
.
.
Pole kwa kukataliwa. Lakini ili kuwakomesha na kuwafundisha wanaume wanaotelekeza watoto adhabu ndio hiyo! Hakuna namna! Pole sana.
 
Fikiria kwa makini usimpe mtoto wala kumpa jamaa matumain ya kumpata mtoto,atateseka tu huko atakakopelekwa. Lea mwenyewe mwanao hadi ukubwani
Huwa natwist umri wa mwanangu ili mhusika asijue

Bt kweli anamtaka mtoto,that's the ishu here wakati bado mdogo
 
Kama unataka mwanao aje akuoe hiyo "aidia" ya kumng'ang'ania ita sound poa!

Ushauri:-
Ishi ndani ya mzingo wako!! nina maana "MZINGO"
 
Ni miaka kumi siku hizi,7 ilikua zamani walishabadilisha
Asante ila ni utoto kutenganisha mama na mtoto. Mimi ni me na ninaye ila namsaidia akae na mama yake sasa ana 15 years. Kwa upande wangu naamini hadi afikishe 18 ndipo anaweza kuishi na mama wa kufikia. Ikitokea mama yake akataka nimchukue itakuwa mtihani mkubwa kwangu maana siamini kama kuna mwanamke anaweza kutunza kiumbe kilichopita katika k ya mwenzake!
 
No wanasema never go back to the person who left you,when you needed them the most.
Mapito aliyonipitisha nikirudi huko nitakuwa zaidi ya lofa.
Tena alifanya hayo when my prince was an infant,sijatoka hata ndani kula uzazi.chapter closed.
Dunia yetu hii ina maajabu wanawake wanaumizwa na wanaume pia wanaumizwa kila mmoja anatafuta mkweli na mwaminifu. Sasa wakweli na waaminifu wasioumiza wenzao sijui wamejificha wapi?
 
U Mkuu baada ya kumtafuta ulipata kitu gani ? Au ulienda kutafuta urithi ?
 
Kuna sababu nyingi nyuma ya pazia you never know, tatizo lenu akina mama wagumu kuelewa mnataka kila mnachokitaka kifanyike kwa wakati huo, mtu akikuambia kafulia ujue kafulia kweli.

Usije ukaniletea ban, yaani umefulia mwaka, 2,3 mwanao hali hanywi? Wewe ulivyofulia unakaa wee huli chakula? Ama kwakuwa huyo mtoto ni extra unatoa matunzo ukiwa na hela ya extra? Maisha ya mtoto umefulia mwaka? Mungu nifundishe kunyamaza
 
Hapo aliposema kama anataka kukupa mtoto mwingine, ndio unatakiwa ushtuke huyu MTU anataka papuchi ya Bure tu Na ashakuona uko weak hana nia nzuri na huyo mtoto yeye anakutaka wewe wa kukutumia tu. Anajua akichukua mtoto utajileta tu na uko tayari kufanya lolote kwa ajili ya mtoto wako. My dear MTU pekee mwenye uchungu wa mtoto ni mama I am sure your son will never forgive you kwa kumtoa na kumpeleka kwa MTU mwingine amlee.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…