Anataka kumuacha kisa ufupi

Anataka kumuacha kisa ufupi

Asipopata hats Hugo mfupi atakuja tena kusema ananuksi. Hivi upendo una kimo? Hugo cuzo wako hana upendo was kweli. Okoa jahazi mwambie akuachie ulisongeshe.
 
Teh sawa nshomile
Ila wanyaki hamuishi vituko kuna wanamke jana nimeshuhudia kapiga tukio kama lile ulilonambiaga, ingawa sina uhakika sana kuna mtu alisema (in joke mode) kuwa yule mother ni mnyaki..haha..
Jirani yetu, mpangaji mtaa wa pili.
 
basically wanaume wafupi wanauzuri wao hasa kwenye swala la kucare ni waoga sana kuachwa,,, ila cuzo wako inawezekana ni under 17 ila akifika kwenye 25 afu amechezewa vyakutosha atamtafuta huyo mfupi(kitonkololo) na iwe too late
 
basically wanaume wafupi wanauzuri wao hasa kwenye swala la kucare ni waoga sana kuachwa,,, ila cuzo wako inawezekana ni under 17 ila akifika kwenye 25 afu amechezewa vyakutosha atamtafuta huyo mfupi(kitonkololo) na iwe too late
Kuna research yoyote iliyofanyika kuthibitisha kwamba watu wafupi wana care wenza wao kuliko warefu ?
 
Mwachen huyo cuzo aende kwa anayempenda , achen kumtisha tisha na vitu vya kufikirika, sijui karma, sijui what goes around comes around
Hakuna kitu hapo
 
Ila wanyaki hamuishi vituko kuna wanamke jana nimeshuhudia kapiga tukio kama lile ulilonambiaga, ingawa sina uhakika sana kuna mtu alisema (in joke mode) kuwa yule mother ni mnyaki..haha..
Jirani yetu, mpangaji mtaa wa pili.
Sisi sio watu wa sport sport, ukizingua unakula tu mabanzi
 
Haya mapenzi bwana khaaaa,hvi waweza muacha mtu sababu tu eti ni mfupi/cjui mrefu, halafu mara ya kwanza hakumuona kama n mfupi, mwenzake kazama yy anajidai hamtaki, mbona mie namzidi msela wangu lakini nampenda tu, acha amwache siku atakapomkumbuka atakuta wenzake wasojali urefu sijui ufupi washambeba,halaf baadae mtu analia lia eti wanaume mara sijui mapenzi yamenitenda,nyoooo kumbe umejitenda mwenyewe
 
Muda utasema,
saa zingine hatuwezi kujua thamani ya vile tulivyo navyo mpaka viondoke,
Yeye anaongelea urefu mara ufupi Mungu anamwona!
Ngoja ampoteze halafu aje alete Tangazo la kutaka Mume
 
swali .. mwanzo hakumwona kuwa mfupi au kafupika saiv ? si amwambie tu kuwa kapata mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom