Anataka kumuacha kisa ufupi

Anataka kumuacha kisa ufupi

Fantasy hizi kazi kweli. Me nikikapata kaandunje kangu kakuendana na mimi hehe , ntajishaua nako kama sio mie niliyekuwa namdream a "tall and dark man" lol

Asije akaolewa na kaka wa watu afu hata kuongozana naye hataki (she can't publicly acknowledge him kwamba ni mumewe). Though it's better kuangalia features ambazo ni za long term (IMO)
Tall and Dark men.. are on high mandate, watakusumbua..LOL!

Tena huyu andunje akitemwa, apige magoti kumshukuru Mungu.
-nothing Good gets away
 
Always watu hutafuta wapenzi wenye tabia tofauti na zao..
Vicheche hutafuta Watu waliotulia/wacha Mungu
Receivers hutafuta Givers
Talkative hutafuta Reserved
Wasumbufu hutafuta ................LOL!
Malizia mkuu
wasumbufu utafuta nini ?
 
Nilishiriki Semina moja ya mambo ya Kiroho kati Ya mada mojawapo ni Kumpa Mwenyezi Mungu condition Katika kuomba Mara nataka Mme/mke mrefu awe mweupe awe na magari Mengi hayo sio Maombi yakija kuharibika baadaye unaomba yeyote tu.

Upendo ni Hisia upendo wala haungalia sura kama anampenda kweli kutoka moyoni Ufupi sio sababu
 
Nyoosha maelezo...sema walimeet online.....kuja kushtuka jamaa dwarf.
hawakumeet online...
tulikua tumeenda shop kununua vifaa flani hivi and the guy alikua hapo pia ndo wakabadilishana namba.
sema the guy alikua upande mwingne amekaa,so i guess hakumuona vizuri(hata me sikuweza kunotice pia)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom