mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
Huko ndo chimboMmh Ila Madanga,Mwembeni huko ni noumaaaa
Huko ndo chimboMmh Ila Madanga,Mwembeni huko ni noumaaaa
Huko ndo chimbo
Uje twende tukamalizie ramadhani bibie
Mara ngapi tumesema mke hasomemshwi?alilmsomesha wa nini?aachane naye atafute maisha mengine,nyie wagogo na wanyamwezi mna matatizo sana.Habari za Eid pili, bila kuchelewa niingie moja kwa moja kwenye jambo lenyewe, nina rafiki yangu ambaye nilisoma naye Tabora TC (2011) baada ya kumaliza hatukuwahi kuonana tena kwani yeye yupo Dodoma mimi Tanga lakini tuna mawasiliano ya mara kwa mara, juzi kanipigia simu ananiambia alifanikiwa kumpata binti na akaoa wakawa wanaishi pamoja na kufanikiwa kupata mtoto mmoja ghafra mkewe akabadilika ghafra na hataki tena kuendelea naye na ameondoka yuko kwa dada yake Babati jamaa anasema hadi sasa kesharudishiwa na mahari kabisa na kinachomuumiza zaidi hadi anishirikishe ni kwamba wamemkata pesa kibao wakidai za mtoto na mkwe anamtusi na kumtishia atakujwa kuchukua vitu wagawane wakati binti kaondoka mwenyewe, kibaya zaidi binti ana jamaa na anamrusha fb ili kumuumiza mshkaji wangu hasira zaidi kwa msela wangu ni kwamba alichukua kamkopo sasa maisha kidogo yanakuwa havy na anapata wakati mgumu akikumbuka baadhi ya pesa alitumia kumsomesha mkewe hadi akamaliza nursing, sasa ameamua liwalo na liwe kaniambia anataka kuja kwangu nimpeleke pangani madanga kuna mzee makata ni shida sana akamalize kabisa biashara bora wakose wote maba akimuona hajisikii vizuri, bado sijamjibu natafakari sijui nimwambieje kuua siyo mchezo wakuu, nipeni mawazo nimshauri.
Ndo hapo sasa cjui huyu jamaaWonderful...tangu lini mke akasomeshwa?
Mie naimalizia hukuhuku TanzaniaUje twende tukamalizie ramadhani bibie
Kuna watu wanaroho nyepesi sana za kuamini binadamu wenzao kisa uchi.Ndo hapo sasa cjui huyu jamaa
Kama anafkiriaga
Hee, inamaana sisi wa madanga tuko nje ya Tanzania jamani?Mie naimalizia hukuhuku Tanzania
Eeeh bana pandeni Shakila la Madanga mjeeHee, inamaana sisi wa madanga tuko nje ya Tanzania jamani?
Uwasiliane na nani?Me mwenyewe mwanga, ila kabla ya kuja itabidi tuwasiliane