Bibi Kizee
JF-Expert Member
- Feb 18, 2008
- 211
- 9
rafiki yangu ana mkasa unamuumiza kichwa najua hapa hapaharibiki neno, wanajamii tumsaidie..
....akiwa ni mama aliye na familia thabiti na amedumu katika ndoa kwa miaka zaidi ya 7, anatatizo linamsumbua miaka yote haelewi kama kweli ni mapenzi au kuna kinachotafutwa zaidi, takriban miaka 14 nyuma akiwa class mate wangu alikutana na kijana mmoja akiwa ni kampani ya kusoma, waliendelea kufahamiana wakawa marafiki wakubwa na huyu kijana, ikawa si tu marafiki wa shule bali hata nyumbani, kijana alijenga pia mazoea na ndugu wa kiume wa huyu dada,
mazoea hayakuishia hapo, kijana alimtaka huyu binti kimapenzi kwa kweli dada hakuwa tayari alikuwa na msimamo mzuri sana, kwa upande huyu kaka naye alikuwa ametulia na ni handsome kwa kiasi chake, lakini dada hakuwa tayari kuharibu usichana wake, miaka ilikatika huyu dada hakubadili msimamo,
mambo ya sekondari yakapita hadi wakafika chuo kikuu kijana hakukata tamaa, sasa alikuwa serious anataka kumuoa au kuishi na huyu dada, hapo ilikuwa kazi kidogo kwa dada maana kaka ndio analia kuwa hali halali, lakini binti anadai hakuwa amempenda huyu kaka awe mume au mpenzi wake, na haswa kwa kuwa kwa msimamo wake wa dini anajua wasingeweza kuoana lakini kijana hakukubaliana na hilo, alikuwa yupo tayari hata kwa ndoa ya mkuu wa wilaya, huyu dada alisisitiza wabaki marafiki tu na si wapenzi, hali ikuwa mbaya kwa kijana,
bahati huyu dada akiwa chuo mwaka haukukatika akapata kijana wa dini yake ambaye moja kwa moja alihitaji kumuoa, binti alikuabali, na mwaka unaofuatia akafunga ndoa na huyu kaka wa dini yake, kwakweli lilikuwa pigo kwa huyu kijana, ilibaki kidogo a-discontinue, ingawa binti alimueleza wazi toka ana mchumba kuwa sasa ninamchumba hata movement za kuja kunisalimia upunguze,
baada ya kuolewa huyu kaka haikupita miaka 3 naye akaoa, kwahiyo sasa anafamilia yeke pia, tatizo huyu kaka haishi kumsumbua huyu dada kuwa yeye ndio chaguo lake na ndio mke wake, amefanya kila mbinu hadi amejiweka karibu na huyu dada na familia yake, na humfuata hadi ofisini lunch time, simu haiziishi kwa huyu dada na mumewe pia yaani niseme sasa ni family friend!!!
huyu dada anasema hamuelewi kwakweli, ni nini haswa anahitaji, na anakiri hajawahi kujihusisha naye kimapenzi toka wapo shule, ila sasa anamtia wasiwasi na hajui amuepuke vipi, maana akibadili namba akimmkwepa atamtafuta tu, na wimbo wake ndio huohuo ww ndio chagua langu, siwezi kuwa mbali nawe, meseji za mapenzi hazikauki... na je amueleze mumewe au la, je siku mumewe akijua kuwa jamaa huwa anamfuata mkewe itakuwaje...
....akiwa ni mama aliye na familia thabiti na amedumu katika ndoa kwa miaka zaidi ya 7, anatatizo linamsumbua miaka yote haelewi kama kweli ni mapenzi au kuna kinachotafutwa zaidi, takriban miaka 14 nyuma akiwa class mate wangu alikutana na kijana mmoja akiwa ni kampani ya kusoma, waliendelea kufahamiana wakawa marafiki wakubwa na huyu kijana, ikawa si tu marafiki wa shule bali hata nyumbani, kijana alijenga pia mazoea na ndugu wa kiume wa huyu dada,
mazoea hayakuishia hapo, kijana alimtaka huyu binti kimapenzi kwa kweli dada hakuwa tayari alikuwa na msimamo mzuri sana, kwa upande huyu kaka naye alikuwa ametulia na ni handsome kwa kiasi chake, lakini dada hakuwa tayari kuharibu usichana wake, miaka ilikatika huyu dada hakubadili msimamo,
mambo ya sekondari yakapita hadi wakafika chuo kikuu kijana hakukata tamaa, sasa alikuwa serious anataka kumuoa au kuishi na huyu dada, hapo ilikuwa kazi kidogo kwa dada maana kaka ndio analia kuwa hali halali, lakini binti anadai hakuwa amempenda huyu kaka awe mume au mpenzi wake, na haswa kwa kuwa kwa msimamo wake wa dini anajua wasingeweza kuoana lakini kijana hakukubaliana na hilo, alikuwa yupo tayari hata kwa ndoa ya mkuu wa wilaya, huyu dada alisisitiza wabaki marafiki tu na si wapenzi, hali ikuwa mbaya kwa kijana,
bahati huyu dada akiwa chuo mwaka haukukatika akapata kijana wa dini yake ambaye moja kwa moja alihitaji kumuoa, binti alikuabali, na mwaka unaofuatia akafunga ndoa na huyu kaka wa dini yake, kwakweli lilikuwa pigo kwa huyu kijana, ilibaki kidogo a-discontinue, ingawa binti alimueleza wazi toka ana mchumba kuwa sasa ninamchumba hata movement za kuja kunisalimia upunguze,
baada ya kuolewa huyu kaka haikupita miaka 3 naye akaoa, kwahiyo sasa anafamilia yeke pia, tatizo huyu kaka haishi kumsumbua huyu dada kuwa yeye ndio chaguo lake na ndio mke wake, amefanya kila mbinu hadi amejiweka karibu na huyu dada na familia yake, na humfuata hadi ofisini lunch time, simu haiziishi kwa huyu dada na mumewe pia yaani niseme sasa ni family friend!!!
huyu dada anasema hamuelewi kwakweli, ni nini haswa anahitaji, na anakiri hajawahi kujihusisha naye kimapenzi toka wapo shule, ila sasa anamtia wasiwasi na hajui amuepuke vipi, maana akibadili namba akimmkwepa atamtafuta tu, na wimbo wake ndio huohuo ww ndio chagua langu, siwezi kuwa mbali nawe, meseji za mapenzi hazikauki... na je amueleze mumewe au la, je siku mumewe akijua kuwa jamaa huwa anamfuata mkewe itakuwaje...