Anatafuta nini kwenye simu yangu?

Anatafuta nini kwenye simu yangu?

rafiki kumbe Bujibuji ndo shem?
yaani nikionaga hiyo avatar huwa lazima nitabasamu maana huyo mtu huwa ananifurahisha sana
FP hebu sema vizuri, huwa unafurahishwa na avatar au Bujibuji?
Jibu lako ni muhimu sana kwangu kipindi hiki kigumu ambacho mwaJ anamthamini hause boy kuliko mimi.
 
Last edited by a moderator:
FP hebu sema vizuri, huwa unafurahishwa na avatar au Bujibuji?
Jibu lako ni muhimu sana kwangu kipindi hiki kigumu ambacho mwaJ anamthamini hause boy kuliko mimi.
usinichonganishe na mwaJ, ni rafiki yangu wa ukweli, lol!
avatar nimesema inanifanya nitabasamu tu na wala hainifurahishi.
solve matatizo yako na MwaJ, yaani hausiboi ndo anakupeleka puta?
 
Last edited by a moderator:
FP umemuona house boy mwenye lakini?
Amejaaliwa ile mbaya.
Hebu muone... ndo maana nakata tamaa.
attachment.php
usinichonganishe na mwaJ, ni rafiki yangu wa ukweli, lol!
avatar nimesema inanifanya nitabasamu tu na wala hainifurahishi.
solve matatizo yako na MwaJ, yaani hausiboi ndo anakupeleka puta?
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji nikwambie kitu mwaya
wala hauna upungufu wala nini
tatizo mwaJ naye kawa siriazi mno
hajui kusema 'darling i love', mpenzi wangu'
na vitu kama hivyo, sasa unategemea mwili wako utasisimuliwa na nini.
kama vipi mrudishe kwenye kitchen party akale tena somo.
 
Last edited by a moderator:
Anatafuta kisa ili muachane.
Sasa wewe inabidi umuwahi umuache kabla hajakuacha wewe.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mamndenyi nitakukaribisha nyumbani kwa chakula cha jioni, kwa kuwa mwaJ ni rafikiyo, naamini mtakuwa na mengi ya kuongea, bila kudodosa habari zangu, lakini kitchen party iendelee
Bujibuji nikwambie kitu mwaya
wala hauna upungufu wala nini
tatizo mwaJ naye kawa siriazi mno
hajui kusema 'darling i love', mpenzi wangu'
na vitu kama hivyo, sasa unategemea mwili wako utasisimuliwa na nini.
kama vipi mrudishe kwenye kitchen party akale tena somo.
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji
ukiweza mpe namba ya simu yangu ya kiganjani
tutaelekezana na mambo yatakwenda sawa hadi utaamini wewe mwenyewe kuwa
hauna ukosefu wa nguvu.

Mamndenyi nitakukaribisha nyumbani kwa chakula cha jioni, kwa kuwa mwaJ ni rafikiyo, naamini mtakuwa na mengi ya kuongea, bila kudodosa habari zangu, lakini kitchen party iendelee
 
Last edited by a moderator:
Buji ana namba yako ya kiganjani? Jamani mbona dunia imekwisha?
Bujibuji
ukiweza mpe namba ya simu yangu ya kiganjani
tutaelekezana na mambo yatakwenda sawa hadi utaamini wewe mwenyewe kuwa
hauna ukosefu wa nguvu.
 
Bujibuji
ukiweza mpe namba ya simu yangu ya kiganjani
tutaelekezana na mambo yatakwenda sawa hadi utaamini wewe mwenyewe kuwa
hauna ukosefu wa nguvu.
mwaJ alivyo na wivu, ataanza kuhoji kwa ukali kuwa nimepata wapi namba yako.
Halafu alivyo mgomvi anaweza akakufuata nyumbani kwako na maji aliyooshea utumbo wa samaki akakumwagia.
 
Last edited by a moderator:
kila nikilala mwaj huwa anapekua simu yangu.
Nikishtuka na kumkuta na simu yangu huwa anasema anaperuzi internet,
lakini nikiwa sijalala huwa haombi simu kwa ajili ya kuperuzi internet.
Nimemnunulia simu yake ili ainjoi net haitumii yuko busy tu na simu yangu.
Jamani hivi ni kipi anachokitafuta huko??

ukimkuta ameishika usimuulize mkate kibao then endelea kulala huone kama atarudia kuchezea sm yako.
 
Buji comments zako mi nabaki hoi.
Kwanini usianze kufanya vichekesho ujipatie pesa za haraka haraka?
 
Back
Top Bottom