Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
HorsePower napungukiwa chaji mwenzako, si unajua tena android ambavyo hazikai na chaji?
Si akopeYake haina salio la kutosha.
Anajua.
Yaani vibarua wamegoma shambani, kwa hiyo mimi nilime, nikachunge ng'ombe, nikamue, nisafishe mabanda ya kuku, nikakate kuni... yote haya nafanya ili mwaJ asichoke mapema, lakini yee haoni.
Sasa simu yangu inaongezaje imani?
hiki ndicho utakacho ambuliaBora umwambie maana yaonekana halijui hilo.
Kila nikilala mwaJ huwa anapekua simu yangu.
Nikishtuka na kumkuta na simu yangu huwa anasema anaperuzi internet,
Lakini nikiwa sijalala huwa haombi simu kwa ajili ya kuperuzi internet.
Nimemnunulia simu yake ili ainjoi net haitumii yuko busy tu na simu yangu.
Jamani hivi ni kipi anachokitafuta huko??
Sasa nifanyeje kuongeza performance? Nimekula vitunguu swaumu na asali bilabila, nimekula mbegu za matikiti bila bila, ngoja nimtafute mganga MziziMkavu anipe minjia ya tiba mbadala, wakati huohuo nijikabidhi maombini na Zion DaughterBujibuji huo ndo ukweli mkubwa
kaa sawa kabla house boy hajakamata usukani.
ukaamua kujitolea tangazo la kifo mwenyewe.
Sasa nifanyeje kuongeza performance? Nimekula vitunguu swaumu na asali bilabila, nimekula mbegu za matikiti bila bila, ngoja nimtafute mganga MziziMkavu anipe minjia ya tiba mbadala, wakati huohuo nijikabidhi maombini na Zion Daughter
hapo ndio ulitaka tupajue nyingine ni mbwembwe tu lolhorsepower napungukiwa chaji mwenzako, si unajua tena android ambavyo hazikai na chaji?