Anatafuta nini kwenye simu yangu?

Anatafuta nini kwenye simu yangu?

wakati niko darasani unanielekeza nilikua nawaza kwingine....

...Nioneshe rafiki yako nitajua ulivyo...
progress.gif
 
Bujibuji sina uhakika kama ukiisoma hiyo sentesi unaielewa, iko very very clear.



Pamoja na kuwa si kweli lakini kama ungekuwa umepita jandoni ungetambua kuwa hapa umejidhalilisha sana, baba mwenye nyumba hawezi kushare sembuse kuporwa mke na houseboy, haya ndio madhara ya kukulia kwa mtogole hata self discipline hakuna.



Nimeshakuja mahabuba wangu mwaJ huyo bujibuji amechanganyikiwa wala hajielewi elewi ndo maana anavamia familia za wengine, atakuwa alidanganywa sehemu kwamba yeye ndiye mwenye watoto lakini ghafla kimenuka na kuambiwa achukue time na watoto si wake!! matokeo ya kupenda vya bure mjini hapa lazima uendelee kuumbuka Bujibuji



We Bujibuji utoke wapi na mke wangu bana mbona unakuwa mgumu wa kuelewa na mwepesi wa kusahau? kama unataka msaada we sema tu tutakusaidia kuitafuta familia yako kama ipo.



Ahaaa kumbe haya yote chanzo ni Madame B?? ndio maana nikasema tangu awali huyu bujibuji anapenda kuishi kwa slope mjini hapa komandoo wa kichina keshachukua jimbo sasa amechanganyikiwa kila mwanamke anayemuona anadhani mkewe. Labda tumuombe madame b asaidie kumtafutia pa kujihifadhi walau kwa muda huu hadi akili yake itakapomrudia kwani vinginevyo tunaweza kumpoteza huyu.


Kwa majibu yote hayo, nadhani akili itakukaa sawa Bujibuji.
 
Last edited by a moderator:
Hapa kuna nini msiri wangu mwaJ?
 
Last edited by a moderator:
Kila nikilala mwaJ huwa anapekua simu yangu.
Nikishtuka na kumkuta na simu yangu huwa anasema anaperuzi internet,
Lakini nikiwa sijalala huwa haombi simu kwa ajili ya kuperuzi internet.
Nimemnunulia simu yake ili ainjoi net haitumii yuko busy tu na simu yangu.
Jamani hivi ni kipi anachokitafuta huko??

Yaelekea ulishamweka kwenye mazingira ya wewe kutoaminika. Au yawezekana ana inferiority complex
 
We acha tu msiri wangu, hapa kuna matatizo makubwa. Bujibuji aliachwa kwenye mataa na Madame B sababu ya kuwa na domo zege akachanganyikiwa alipoibuka akadhani mie ni mkewe wakati hata kuoa alikuwa bado.
Mapacha tumewapata wapi?
Mbona ulikuwa ukinihubiria kuwa kina Zion Daughter ni wanangu wa mbegu na Mwita Maranya mtarimno mkubwa umelala doro?
 
Last edited by a moderator:
We acha tu msiri wangu, hapa kuna matatizo makubwa. Bujibuji aliachwa kwenye mataa na Madame B sababu ya kuwa na domo zege akachanganyikiwa alipoibuka akadhani mie ni mkewe wakati hata kuoa alikuwa bado.


Orait orait "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new" -
Albert Einstein
 
Uwe unampa mapema apekue kabla hujalala mkuu so that ukillala asipekue
 
Mpe dose ya kutosha huo usingizi atakaopata hata cm hatakumbuka kugusa. Acha kuwa selfish ukimaliza tuu ww ushaanza kukoroma lazma atafute kinachokuchosha kupitia cm yako 😀
 
Bujibuji vipi bado haujapona? Moyo bado unadundia nyayoni?
mwaJ j hebu click hapa chini kwenye hii link
http://ia600209.us.archive.org/19/items/BusuPandeTatu/03BusuPandeTatu.wma

[BUSU PANDE TATU - BIMA]
(Bima Lee, mwaka 1989 kibao kilitungwa na Max Bushoke, kuimbwa
nae pamoja na Jerry Nashon, Athumani Momba, na Bwana Mugunda)

(Bushoke)
vipi penzi lajisuta lenyeweeeeeee

vipi sasa mbona lajisuta lenyewe
ulipokubali kunipenda ah ah
hukulazimishwaa
uliahidi kwa ahadi na viapo pia
uliahidi kwa ahadi na viapo pia
mwanzoni ilikuwa penzi motomoto
busu pande zote tatu za uso ohooooo

(wote)
ukweli nimeuona kwenye hili penzi letu
mwenye pendo la udanganyifu sasa ameonekana
kwenye mapenzi ya kweli
watu hushirikiana sheri
kwenye dhiki na faraja
kote hushirikiana
viko wapi sasa jamae
maneno ulionieleza
NAKUPENDA HAKUNA MWENGINE TENA
KUMBE YOTE NI UONGO

(Nashon)
uko wapi sasa moto wa mapenzi yetu mimi na wewe.. mimi nawe mamaa
uko wapi sasa moto wa mapenzi yetu mimi na wewe
mbona umezimika hata majivu hayaonekani
mamiii mamiiiii

(wote) Kibwagizo
ama ni kweli mapenzi hayana mdhamini
nimeamini
yaweza vunjika wakati wowote

(Nashon)
ama ni kweli mapenzi hayana mdhamini
duniani duniani siku hizi
I love you busu nyingi ........ uongo huo
mamii mamiii

(wote) kibwagizo

(Nashon)
uko wapi sasa moto wa mapenzi yetu mimi na wewe
mbona umezimika hata majivu hayaonekani
mamii mamii

(wote) kibwagizo
 
Last edited by a moderator:
mwaJ j hebu click hapa chini kwenye hii link
http://ia600209.us.archive.org/19/items/BusuPandeTatu/03BusuPandeTatu.wma

[BUSU PANDE TATU - BIMA]
(Bima Lee, mwaka 1989 kibao kilitungwa na Max Bushoke, kuimbwa
nae pamoja na Jerry Nashon, Athumani Momba, na Bwana Mugunda)

(Bushoke)
vipi penzi lajisuta lenyeweeeeeee

vipi sasa mbona lajisuta lenyewe
ulipokubali kunipenda ah ah
hukulazimishwaa
uliahidi kwa ahadi na viapo pia
uliahidi kwa ahadi na viapo pia
mwanzoni ilikuwa penzi motomoto
busu pande zote tatu za uso ohooooo

(wote)
ukweli nimeuona kwenye hili penzi letu
mwenye pendo la udanganyifu sasa ameonekana
kwenye mapenzi ya kweli
watu hushirikiana sheri
kwenye dhiki na faraja
kote hushirikiana
viko wapi sasa jamae
maneno ulionieleza
NAKUPENDA HAKUNA MWENGINE TENA
KUMBE YOTE NI UONGO

(Nashon)
uko wapi sasa moto wa mapenzi yetu mimi na wewe.. mimi nawe mamaa
uko wapi sasa moto wa mapenzi yetu mimi na wewe
mbona umezimika hata majivu hayaonekani
mamiii mamiiiii

(wote) Kibwagizo
ama ni kweli mapenzi hayana mdhamini
nimeamini
yaweza vunjika wakati wowote

(Nashon)
ama ni kweli mapenzi hayana mdhamini
duniani duniani siku hizi
I love you busu nyingi ........ uongo huo
mamii mamiii

(wote) kibwagizo

(Nashon)
uko wapi sasa moto wa mapenzi yetu mimi na wewe
mbona umezimika hata majivu hayaonekani
mamii mamii

(wote) kibwagizo

Naona midundo ya moyo imegoma kutoka nyayoni. Itabidi tukuchangie ukatibiwe India.
 
Back
Top Bottom