mwaJ nimepata mbinu mpya, Madame B anahitaji nusu kilo tu ya limbwata na robo kilo ya shuntama, mbona mwenyewe atakuja kwangu kwa magoti!!!
mwaJ nimepata mbinu mpya, Madame B anahitaji nusu kilo tu ya limbwata na robo kilo ya shuntama, mbona mwenyewe atakuja kwangu kwa magoti!!!
Hamna cha mjeda wala Ben Saanane wote atawasahau.
![]()
Ben Saanane, limbwata na shuntama la kihindi huna ujanja wa kulikwepaHa ha ha Bujibuji hizo mbinu zimechelewa....labda niwe sijaaga!
haya makubwa sasa, anko buji ameanza kuchizi
Heshima yako mkuu. nmekukumbuka sana. miaJichekee tu mwaya, maisha yenyewe haya, full stress. Yaani itabidi nii support JF maana ndio pumzikio nikishachoshwa na mkoloni.
Heshima yako mkuu. nmekukumbuka sana. mia
Yule bwana mdogo anaitwa Thanda. msalimie yule rafikio, jina lake limenitoka. miaHa ha ha haaaaaa! We una fujo sana mtu wangu! Msalimie rafikiyo mzulu, jina limenitoka.
Yule bwana mdogo anaitwa Thanda. msalimie yule rafikio, jina lake limenitoka. mia
asante sana. Lakini hata wewe umetisha sana. mpango mpango kwa sana tu!. miaAsante, yule mdogo wangu anaitwa sweet sweet