Anasema nimuhudumie kila mwezi

Anasema nimuhudumie kila mwezi

Chuo Kinakushinda Mapema Wewe Mwenyewe
Halafu Huyo Huyo Dada Atamaliza Chuo
Wewe Ukiwa Home, Jitahidi Utafute Wa Level Yako
 
Ukiona nyingi achana nae uwe unapiga nyetroooo
Au nikutumie na malink kabisa ya pilau uwe unajipakulia tu mwenyewe
 
Wewe hujui nilivyomkuta unaongea, amekuja mshamba kabisa, ila sasa hivi ameshazoea mji, ananitafutia sababu.

Alafu kitu kingine, wewe unaoenekana ni mkubwa lakini akili huna.

Jaribu kutumia hekima, au tafuta bwana akukune vizuri, hasira zitapungua
We MTOTO mpumbafu Sana....Ulitaka kwakua mshamba Basi abaki na tongotongo maisha yake yote .

Kama unaona huwezi kutoa hiyo 20K.. achana nae fanya yalokupeleka chuo


Tena unataka mkae wote chumba kimoja..akipata mimba elfu 20 inakushinda...SI ndo utaanza kumkimbia binti wa wawatu..

Fanya yalokupeleka chuo..
 
  • Thanks
Reactions: aad
Kijana maliza masomo kwanza ndio uingie kwenye mapenzi.
 
  • Thanks
Reactions: aad
Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
Leta namba yake, niwe sponsor
 
Chuo mwaka wa ngapi mkuu..??

Kama mwaka wa kwanza au wapili usifanye huo ujinga,tengeneza GPA yako...then mwaka wa mwsho ndo ufanye huo ujinga coz akili zenu zinakuwa zishakomaa.
 
  • Thanks
Reactions: aad
Una lipia sh 680-700 kugonga kwa mwezi???

Mi mwanamke akinipangia sharti sitekelezi hata kama lipo ndani ya uwezo wangu..

Nilishwahi kuambiwaga badala ya kuwa unanipa nipa hela nikikuomba kwanini usiwe unanipa 150k kwa mwezi hlf sikuombi hela najibalance mwenyewe hapo ana kazi take home 500k.Niligeuka na jicho hilo mada iliisha hapo hapo na tulikuwa tuna miezi 2 penzi jipya hatujuchukua ht mwezi na nusu mbele nikafuta kila kitu...

Kitendo cha kupangiwa sharti kwangu naona km nimetukanwa sababu nikupe 150k kwa mwezi hlf itokee shida ya 300k na wewe huna na ya msingi kwahiyo unafanyaje????yaani mimi nikae nafanya mambo yangu huku nawaza mwisho wa mwezi nadaiwa na 150k na mwanamke tena niliyekutana nae hata mwaka hatuna..
 
Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
Wakoncha wewe wakoncha, tumekutuma chuo ukasome sasa unaanza kutaka ishi na mwanamke wakoncha.... wakoncha kwanini lakini
 
Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
Sasa blaza unataka utwange bure tu hicho kinu umekichonga wewe?
 
  • Thanks
Reactions: aad
Back
Top Bottom