Anasema nimuhudumie kila mwezi

Anasema nimuhudumie kila mwezi

Hahahaahaha.....
Cha kwanza huyo demu kashapata jamaa mwingine hapo anakutega tu apate sababu.
Kingine usitumie mda mwingi sana na mademu watakupotezea mda tu.
 
  • Thanks
Reactions: aad
omba ushauri kwa mzee wako. kaa nae man to man, muelezee kua kuna changamoto kadhaa unapitia kiasi umekutana na type hiyo.. atakushauri ushauri wa busara akizingatia kigezo cha genes mnazoshare..
 
  • Thanks
Reactions: aad
Hiyo hela ni ndogo Sana bro,sema mim huwa sipendi mwanamke anaye tanguliza Mambo ya kuhudumiwa,me napenda nihudumie kwa mapenzi na siyo kwa shinikizo.
 
Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
Sasa elfu 20 ndo unaita "kumhudumia"?
 
Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
Na mimi nikuulize, unamtaka uyo manzi ama? Kama humtaki usimpe. Me nikajua iyo 20 ni kilawiki bana. Acha uzembe.
 
Pumbafuuu na nusu!ndo kilichokupeleka chuo....eti mkae pamojaa dogo unatumia makalio kufikiria au?wewe huna mbele Wala nyumaa kuombwa tu elfu 20 kwa mwezi unalia hivyo.somaa dogo
 
Piga chini kahaba huyo
122593451_2740797049471953_1777710575627596097_n.jpg


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani ukimwambia sina siwezi kukupa utakufa?
Mkuu wewe ni stupid
 
Mapenzi na shule havijawahi kuchanganyikana kama mafuta na maji
 
Back
Top Bottom