Anasema nimuhudumie kila mwezi

Anasema nimuhudumie kila mwezi

20000 tu kwa mwezi unakuja kulia Lia hapa..kwa mtindo huu masponsor hawawezi kuwaachia kina MY wenu...pambana kijana.
 
  • Thanks
Reactions: aad
Ahsante mkuu, kwa ushauri
Soma, nikwambie kitu mapenzi ya mengi ya chuo huishia pale gatini, unawekeza muda, pesa akili mwishowe kila mtu anaenda kuoa/koelewa na mwingine
 
  • Thanks
Reactions: aad
Mi natafuta hata wa kuniomba 50k kwa mwezi tu hiyo 20k naombwa Kila siku kwa mwezi haipungui laki 4 mpaka 5
 
Daah, Shukrani mkuu, najua huyu alikua ananitafutia sababu tu
Eehe so wewe achana naee...!! Huna haja ya kuanza kumliliaa sijui sina helaa...mara nivumiliee atakuona boyaa tu
 
  • Thanks
Reactions: aad
Pole sana mkuu, changamoto katika mapenzi ni kawaida, ila hiyo changamoto yako ni ngumu sana cha kufanya achana na huyo demu tafuta demu mwingine.

Mwanaume hutakiwi kupelekwa namna hiyo, ebu kuwa mwanaume acha kuwa na tabia ya kivulana.
 
Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
Kilichokupeleka chuo n kusoma au mapenz?chagua 1...maana inaonekana uwezo wa kifedha n mdogo..la sivyo jiandae kuchapiwa tu!!
 
  • Thanks
Reactions: aad
Umeshaambiwa uwe unatoa hela kila mwisho wa mwezi hicho ndo kigezo cha kuwa naye. Sasa kama huwezi kutoa hela mwache. Tafuta asiyetaka hela. Acha kichwa ngumu
 
  • Thanks
Reactions: aad
Km ww ni mwanafunzi acha kujihusisha na mapenzi,mapenzi ni gharama pia kwa mwanachuo mwenzako uwezekano wa kufikia malengo yenu ni mdogo sn wakitokea wajanja waliokuzidi hela watakuchulia

 
  • Thanks
Reactions: aad
Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
KWA HIYO UNATAKA UPIGE bure?
 
  • Thanks
Reactions: aad
20,000 kwa mwez mbona ndogo ,wanafunz wenzio wanatumia mpaka 60,000 kwa demu,BASI PIGA NYETO
 
  • Thanks
Reactions: aad
Huyo ni mchumaji tu huwezi fanya nae maisha, ushauri wangu muache maana angekuwa wa maisha angekuonea huruma sababu huna kazi , bado vile vile unaishi kwa neema bila boom utatokwa na damu ya machozi. Huyo ni kichomi anza kujikata taratibu na usioe ukiwa chuoni maana utaongeza majukumu.
 
Maisha Ya Wanachuo!

Huo ushauri uliompa naona jamaa unataka kumaliza na degree mbili (Bachelor na Mtoto)
 
  • Thanks
Reactions: aad
Soma wewe mapenzi utayakuta tu, hata mimi babu yako nimebaki kuyaangalia tu
 
  • Thanks
Reactions: aad
Hela ndogo sana hiyo sema tu kiupande mwingine hana mapenzi na wewe
 
  • Thanks
Reactions: aad
Back
Top Bottom