Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Atakuwa amekosea Sana akifanya hivyo!! Usije ukamshauri mtu kufanya hivi! Ndoa nyingi zinasumbuliwa na uzinzi sababu wanandoa walishakaribisha maroho ya uzinzi kabla hata ya ndoa!Kuna kitu unaitwa "taste before use" kwa faida yako hata ikiwezekana piga mimba kabisa ili msisumbuke kwenye ndoa
Acha kumtukana mwenzioUko mbioni kua hanithi, nipe namba zake.
Unakubali kwamba kutest mitambo kabla ya ndoa ni muhimu?Mmmh aisee au huna nguvu za kiume. Ingekua mwanamke ndio anasema hivi nisingeshangaa ila mwanaume
Kuna msichana ilikua hivi hivi honeymoon ndio anagundua mume wake hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Ikabid aende kanisani ndoa ikavunjwa
Mmmh aisee au huna nguvu za kiume. Ingekua mwanamke ndio anasema hivi nisingeshangaa ila mwanaume
Kuna msichana ilikua hivi hivi honeymoon ndio anagundua mume wake hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Ikabid aende kanisani ndoa ikavunjwa
Frankly speaking utakuwa mbovu kwa kiasi kikubwa au husimamishi kabisa au shoga ndio maana unajificha katika kichaka cha hadi ndoa.Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Machale yamenichezaAnataka akubambikie mimba!! Kesha nasa huko alikoruka. Jichanganye ulee mbegu za hawara yake
Wengi wanamdhihaki kwa maneno ya kejeli.Ushauri mzuri sana huu! Mungu akubariki kwa hili!
Acha uongo,wewe upewe papuchi ukatae?Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Mmmh aisee au huna nguvu za kiume. Ingekua mwanamke ndio anasema hivi nisingeshangaa ila mwanaume
Kuna msichana ilikua hivi hivi honeymoon ndio anagundua mume wake hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Ikabid aende kanisani ndoa ikavunjwa