sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,431
- 5,073
Kitu gani kina wazuia kuoana hata leo?Inaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Ulichozungumza ni sahihi kabisa, nayaona hayo yakija iutokea, naaiona dalili ya kutengana muda sio mrefu coz nikifanya nae sitakua na iman ya moyo na nisipofanya nae nitakua na wasiwasi nae piaAna mashaka na wewe anafikiri huenda hauko sawa, kwa wengine waneingia katika mtego huo wa mwanàume hasimamishi.
Au anataka kuona mnafaa kila mmoja kwenye tendo hilo.
Ninachokushauri kama wewe ni Mkristo imara usifanye. Mara nyingi waliofanya huwa hawaoani sababu wanajuana kama jjnsi kila mmoja anavyoona.
Simamia uamuzi wako kama analazimisha mwache utampata mwingine.
Madhara ya kushiriki ngono kabla linafanya watu wasiaminiane; pia mvuto wa kumtamani mwingine unaondoka, tatu kinachokuwa kinawavuta kukutana ni ngono, nne uzoefu wa kufanya ngono ovyo unafanya kuleta ulinganifu kwa aliowahi kukutana nao huko nyuma na kumpima mwenzake katika kipimo hicho.Tulia mweleze ukweli, akueleze bila kuficha sababu yake ni nini
Some things do not need shaking.Shake well before use.
Huo moto usipozikwa utawasha mashamba ya jiraniInaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Kwani imekuwa dawa ya maji ya watoto?Shake well before use.
Nishauri tu mimiNaomba no ake nimshauri uyo Shem angu maana ngono kabla ya ndoa ni ushetan...kua na aman tafadhal
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kwa kadri nijuavyo hakuwahi kufanya, but after all nimeamua kutofanya ikiwa rizk yangu sawa isipokua pia sawaKama mmeamua kutofanya ni vema zaidi, ila kama mwanamke amewahi kuliwa basi lazima asumbuliwe na migenye umiza kama hyo, uamuzi ni wako.
Ubarikiwe sana mdogo angu.Kwa kadri nijuavyo hakuwahi kufanya, but after all nimeamua kutofanya ikiwa rizk yangu sawa isipokua pia sawa
Ushauri mzuri sana huu! Mungu akubariki kwa hili!
Hongera kwa ushauri mzuri! Huu ndiyo uanamume hasa!Mwamba shikilia hapo hapo. Trust me nothing good as ever come out of have pre marital sex.
Akishindwa basi huyo sio wife material achana nae
Hili linawezekana kwa 75%Anataka akubambikie mimba!! Kesha nasa huko alikoruka. Jichanganye ulee mbegu za hawara yake