Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,635
- 46,113
Unawaza sana udini ndugu, ndio maana umeipinda comment kuonekana ya kidini
Kwa mfano nikuulize Pauli makonda , sabaya, jiwe no man muislam atawafikia hawa watu kwa ukatili wao?
Je kwa kuwa ni wakristo niwatetetee...
Mbona hapa nyumbani naishi na kijana muislam safi wa machane anauza duka la spea?
Kwa hiyo unadhan naweza kumpa Samia marks chache kisa dini take?
Kwangu mim Samia no mzuri Mara Mia kuliko like jiwe lililokuwa likituamuru tuliombee
Unajua tuko vizuri ila unalazimisha udini wangu hapo
Wewe ndio umeandika mwanzo kiingereza kuwa huyo jamaa amefanya mafunzo ya Islamists
Ndio nikakujibu kwa sarcasms kuwa hao nao ni waislam? Waliompiga TL na kupotea kwa B? Na viroba?
Ila hujanielewa bado