Fid q.com
August 13
Usinikubali haraka
Propaganda
Ielewe mitaa
Kwangu mimi Roma hana ngoma inayozizidi hizo ngoma apo
Mathematics inadondosha uchafu wote huo hapo juuu
Mathematics inadondosha uchafu wote huo hapo juuu
"Anitwa Roma nani wakumnyamazisha"Roma Mkatoliki ni ameamua kujilipua ama? Binafsi sijamuelewa au labda amepewa go ahead na system.
Wimbo mzima ukiusikiliza kwa umakini ni kama ameamua kumnanga "prince".
Pale anaposema "mjibuni mmemzaa Mpare ila siwachukii Wasukuma."
Naendelea kuamini, aidha Roma ameamua potelea mbali liwalo na liwe ama amepewa kinga na wasiojulikana.
Hv ni nan hyu mkuuNasikia jimbo la ubungo kuna mtu amelipania
Hili hapa sasa kokoto lenyeweHuyo mtu ni nani? Mbona kama kokoto la Lucas Mkenda
Roma is back
Aseee...RC wa Lipuli na RC wa Mzizima
Hata mm nahitaj kumjua"Albino wa Moroco" anamaanisha nini......ni nani huyo?
Itapendeza sanaRoma asema kimafumbo
Hakika nimeshindwa kujizuia usiku huu kuwaletea wimbo huu wa Roma Mkatoliki ambao kwa maoni yangu hakuna kwa sasa wimbo uliojaa hamasa za Kisiasa katika wakati huu mgumu wa siasa za kishamba.
Ndani ya mashairi yake amefunguka kisanii kumtaja mtekaji wake na mambo mengi ya hovyo ya utawala huu.
Tuusikilize na kuuchambua mstari baada ya mstari.
Natamani colabo ya Roma,Stamina na Sugu na Prof J siku moja.