jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Kaka hao watu balaa..mi kasababisha familia imeparaganyika huko mjini kwetu usiskie,ni washirikina kinoma..wabinafsi sana,ila inaweza isiwe wote,just jaribu bahati yako..nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa