Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Hawatulii na mwanamume mmoja ni wanawake wa mafiga matatu, kwa limbwata ndo wenyewe na pia kama limbwata halikamatiki kwako basi wanakudedisha.Lakini tofauti na hayo Wanyamwezi ni miongoni mwa makabila yanayojua mapenzi hapa Tanzania, mimi nashangaa watu wanasifia eti Tanga kwangu mimi mwanamke wa Kinyamwezi ni nambari one kwa mapenzi sema sasa issue ni hayo matatizo yake ya hapo juu maana mwanamume hakohoi kwa mke wa Kinyamwezi
mkuu we ndio askofu jimbo katoliki rulenge,?
 
nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa
Wanyamwezi wengi hasa kwenye maeneo walipojazana ni wavivu wa kazi huku wanapenda sana starehe, wasengenyaji, wafitinishaji na wanafiki sana.
Maeneo hayo pia huwa hawapendi maendeleo ya watu wengine hata wao kwa wao.
 
Back
Top Bottom