Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Wewe kama umeshampenda muoe tu ukitaka ushauri huku utasikia mengi.
 
nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa
Mkuu kama ulifanikiwa kuingia kwenye ndoa naomba mrejesho maana na mimi nina wazo kama lako
 
Hawatulii na mwanamume mmoja ni wanawake wa mafiga matatu, kwa limbwata ndo wenyewe na pia kama limbwata halikamatiki kwako basi wanakudedisha.Lakini tofauti na hayo Wanyamwezi ni miongoni mwa makabila yanayojua mapenzi hapa Tanzania, mimi nashangaa watu wanasifia eti Tanga kwangu mimi mwanamke wa Kinyamwezi ni nambari one kwa mapenzi sema sasa issue ni hayo matatizo yake ya hapo juu maana mwanamume hakohoi kwa mke wa Kinyamwezi
wanakula sana ukimpenda mdada wa tobora jiandae kwa misosi kama maisha yenyewe ni kushindia chapati kama wazarmo umefeli
 
wanyamwezi.....wamesomaa sana na pia watu mashuhuri sana.....katika siasa taifa hili ukiangalia watu kama akina.......

1.samweli sitta.......
2.profesa ibrahim lipumba......
3.magreth sittaaa.....
4.ismail aden rage.....
5.hamis kigwangala.....
6.hussein bashe.....
7.profesa juma kapuyaaaa
9........
chief fundikira wa itetemya
 
Sio ukabila mkuu. Ni muhimu sana kujua. Hakuna kosa kubwa kama kukosea kuoa hasa sisi wakristo
Sawa...ajiandae kuwekewa limbwata...na kukaliwa na mwanamke...

Uwiii...niliwahi ona mdada wa huko amemfanya mumewe zuzu....
 
Yani alikuwa anampiga mumewe analia kama mtoto...

Anatembea na vijana wadogo...mumewe anaona ila ndio kawekwa limbwata
Aisee. Hii ni hatari sana. Ngoja huyu jamaa aje kuleta mrejesho hapa
 
Smile Mdogo wangu, reference yake ni wababa wa Kiswahili wanywa gahawa na sio kaka zangu wa Sikonge, Nzega, Ndala, Urambo ni full kujituma; muda wa majungu wautoe wapi?

Unawaonaje wachache waliomo humu jamvini?
Weka kapicha tuone mzigo ila huwa baadhi wamejaliwa
 
Back
Top Bottom