Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Anaewajua wanyamwezi anisaidie

bora mwaya manake mmeshaonewa sana!
ngoja na mi niwaite kaka na dada zangu kina Kipipi, FP, moto2012, Mzee tupatupa tusafishe pande zetu!
manake badala ya kutusifia wao wanapaka za oh nyie ni WAGONI WA KUZINI!lol!
hatukubali! na sisi ngoja tuanze kujitetea bana!

Dada wanatuonea sana, hapa Jf kujitetea ni ngumu maanake jamaa yetu TOT ameharibu sana, c unakumbuka ule uzi wa LULU?

Tuache hayo, mimi na Preta ni mfano wa kuigwa, halafu dada FP ametulia sana, wewe mwenyewe, Kipipi na wengine tupo poa ndo maana Erickb52, Boflo, Arushaone na wengine wanatafuta kuunga ukoo kwetu ili wapate vinasaba bora kwa vizazi vyao!!
 
Last edited by a moderator:
Ukiacha mambo yao ya binafsi, Wanyamawezi wazuri,wanaheshima ya asili si ya unafiki, watendaji wazuri wa kazi uwe na shamba Mnyamwezi utampenda anajituma sana, isipokuwa usimuudhi tu.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Wanyamwezi ni wavivu kufanya kazi,wepesi kuridhika na hali yoyote ya maisha,wepesi kudanganywa/kuibwa,wanayajua mapenzi kitandani na hata nje ya kitanda,wajuzi wa kutunza familia,wanapenda majungu na kusengenyana,hawapendi kuacha asili yao kirahisi hasa tiba za kienyeji,maendeleo hayana kipaumbele sana kwao n.k (nikizikumbuka nyingine nitakwambia)

Boo hoo!
 
kwenye libwata umetusingizia mkuu, hatuko hivyo

Nina kaka yangu mtoto wa baba mdogo alienda kufanya biashara Tabora maeneo ya Skonge kwa Wanyamwezi asilia.Aliacha home mke na watoto na kufika Skonge akapata mwanamke wa Kinyamwezi,ndugu cuchi nakuambia ukweli alikaa Skonge muda wa miaka minne bila hata kutuma barua wala hata shilingi kumi ya kussuport familia.Kilichofuata ilibidi ndugu zangu wamfuate kwa nguvu huko Skonge na kumrudisha nyumbani lakini hata hivo baada ya kufika nyumbani alikaa wiki mbili akarudi tena Skonge kwa mke wake wa Kinyawezi ndugu wakamfuata tena wakamrudisha nyumbani lakini wakati wanamrudisha yule mwanamke wa Kinyamwezi akawaambi kuwa kama mmeng'ang'ana haina shida nyie mchukueni tu lakini jua kuwa ameniacha huku nyuma na watoto wawili,familia ikasema watoto si shida itatoa hela ya kuwasupport.Huyo ndugu yangu alivofikishwa nyumbani alikufa within 3 weeks na siku anakufa alitapika dagaa,so Wanyamwezi kuanzia siku hiyo sina hamu hata kidogo
 
Mhh, huu uongo mkubwa.

Sasa ina maana ni Wanyamwezi TULIMUUWA? Kama mlimpa Sumu huko kwenu basi siye hatupo. Halafu dagaa na Sikonge wapi na wapi? Mmemlisha wenyewe sumu huko na sasa mnatusingizia sisi. Kwa nini asiwe ni mke wa kwanza kwa kujua anataka kurudi tena kwa Toto la Sikonge?

Hebu nipe jina la huyo dada nikamuone maana atakuwa hatari sana.

Mwisho tunaita SIKONGE na siyo Skonge maana linakuwa kama jina la Kiswidi vile.....
Nina kaka yangu mtoto wa baba mdogo alienda kufanya biashara Tabora maeneo ya Skonge kwa Wanyamwezi asilia.Aliacha home mke na watoto na kufika Skonge akapata mwanamke wa Kinyamwezi,ndugu cuchi nakuambia ukweli alikaa Skonge muda wa miaka minne bila hata kutuma barua wala hata shilingi kumi ya kussuport familia.Kilichofuata ilibidi ndugu zangu wamfuate kwa nguvu huko Skonge na kumrudisha nyumbani lakini hata hivo baada ya kufika nyumbani alikaa wiki mbili akarudi tena Skonge kwa mke wake wa Kinyawezi ndugu wakamfuata tena wakamrudisha nyumbani lakini wakati wanamrudisha yule mwanamke wa Kinyamwezi akawaambi kuwa kama mmeng'ang'ana haina shida nyie mchukueni tu lakini jua kuwa ameniacha huku nyuma na watoto wawili,familia ikasema watoto si shida itatoa hela ya kuwasupport.Huyo ndugu yangu alivofikishwa nyumbani alikufa within 3 weeks na siku anakufa alitapika dagaa,so Wanyamwezi kuanzia siku hiyo sina hamu hata kidogo
 
ahaaaaaa hiii thread imeniacha hoi loh @ Kaunga umenipa nani sasa
 
Nina kaka yangu mtoto wa baba mdogo alienda kufanya biashara Tabora maeneo ya Skonge kwa Wanyamwezi asilia.Aliacha home mke na watoto na kufika Skonge akapata mwanamke wa Kinyamwezi,ndugu cuchi nakuambia ukweli alikaa Skonge muda wa miaka minne bila hata kutuma barua wala hata shilingi kumi ya kussuport familia.Kilichofuata ilibidi ndugu zangu wamfuate kwa nguvu huko Skonge na kumrudisha nyumbani lakini hata hivo baada ya kufika nyumbani alikaa wiki mbili akarudi tena Skonge kwa mke wake wa Kinyawezi ndugu wakamfuata tena wakamrudisha nyumbani lakini wakati wanamrudisha yule mwanamke wa Kinyamwezi akawaambi kuwa kama mmeng'ang'ana haina shida nyie mchukueni tu lakini jua kuwa ameniacha huku nyuma na watoto wawili,familia ikasema watoto si shida itatoa hela ya kuwasupport.Huyo ndugu yangu alivofikishwa nyumbani alikufa within 3 weeks na siku anakufa alitapika dagaa,so Wanyamwezi kuanzia siku hiyo sina hamu hata kidogo
dah ahaaaa KIKUNGU Sikonge The Boss kwa hili sina hamu na nyie tena
mbona mnapenda mambo ya kiwitch hivo jamani?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Afu wewe?!!!
Umekuwa mjeuri siku hizi??

Tangu Bishanga afulie hela ya intanet basi unajiamini, nitatafuta buzi jipya ujue?

Bado litakuwa na kubakia buzi tu, na tangu lini buzi linalojijua kuwa lenyewe linaitwa buzi likajisifu? Usinitishie nyau mie!
 
Back
Top Bottom