Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
Sasa yule ni mnyamwezi? Naona umesahau usemi wa wahenga kuwa "Mjasili haachi asili" tembelea asili yake huko Somalia watoto wanawinda ndege kwa bunduki.
Ulikurupuka mkuu kugeneralize tabia zetu wanyamwezi kwa kuangalia mtu mmoja tu!! Hakuna mwanaume anayejiamini kama mnyamwezi, uliza tukuelimishe mkuu!!
Du ina maana tuna mbunge wa nchi nyingine, hongera kwa kunifumbua macho mkuu
Piga magoti umuombe Mungu akuepushe na hilo balaa. Hao ndio Wazaramo wa Bara.
Kwa uswahili (tabia za masengenyo, ushirikina na uvivu) Mnyamwezi ni namba moja huko Bara akifuatiwa na watani zangu Waha.
Jiandae kumlea baba mkwe. Kwa anayewajua Wanyamwezi atakubaliana na mimi kuwa ni watu wasiojua vibaya. Hata kama mna chumba kimoja, basi baba mkwe haoni shida kushea na nyinyi, unless awe amepata elimu dunia kidogo japo haimbadilishi sana.
Mashemeji zako ambao hata ni wakubwa kwa mkeo watatinga kufunga kambi kwako endapo utathubutu kujionesha ni bingwa wa kuwapa milo mitatu kwa siku, na hiyo haijalishi kuna vyumba vingapi. Wao hulala hata wa4 kitanda kimoja kama watoto.
Kwetu sisi ni matusi kulala kwenye nyumba ambayo binti yako anakamuliwa kipele lkn kwa hawa watu, nimevua kofia. Baba anaishi alikoolewa binti yake mwaka wa 5 sasa, hadi amekuwa sehemu ya familia.
wanyamwezi.....wamesomaa sana na pia watu mashuhuri sana.....katika siasa taifa hili ukiangalia watu kama akina.......
1.samweli sitta.......
2.profesa ibrahim lipumba......
3.magreth sittaaa.....
4.ismail aden rage.....
5.hamis kigwangala.....
6.hussein bashe.....
7.profesa juma kapuyaaaa
9........
Kwa ndumba ndo wenyewe!!!!!!!
Kama ni hivi basi kisomo hakija wasaidia wanyamwezi. Wangebaki makuli tu.
wanyamwezi.....wamesomaa sana na pia watu mashuhuri sana.....katika siasa taifa hili ukiangalia watu kama akina.......
1.samweli sitta.......
2.profesa ibrahim lipumba......
3.magreth sittaaa.....
4.ismail aden rage.....
5.hamis kigwangala.....
6.hussein bashe.....
7.profesa juma kapuyaaaa
9........
Daaah. Hii noma sanaMuombe sana Mungu wako akuepushe na hicho kikombe. Hao ni waswahili kupita maelezo.
Watajazana kwako bila aibu, hata baba mkwe hatokubali tena kukaa Sikonge wakati binti yake ana vyumba viwili