Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Piga magoti umuombe Mungu akuepushe na hilo balaa. Hao ndio Wazaramo wa Bara.

Kwa uswahili (tabia za masengenyo, ushirikina na uvivu) Mnyamwezi ni namba moja huko Bara akifuatiwa na watani zangu Waha.

Jiandae kumlea baba mkwe. Kwa anayewajua Wanyamwezi atakubaliana na mimi kuwa ni watu wasiojua vibaya. Hata kama mna chumba kimoja, basi baba mkwe haoni shida kushea na nyinyi, unless awe amepata elimu dunia kidogo japo haimbadilishi sana.

Mashemeji zako ambao hata ni wakubwa kwa mkeo watatinga kufunga kambi kwako endapo utathubutu kujionesha ni bingwa wa kuwapa milo mitatu kwa siku, na hiyo haijalishi kuna vyumba vingapi. Wao hulala hata wa4 kitanda kimoja kama watoto.

Kwetu sisi ni matusi kulala kwenye nyumba ambayo binti yako anakamuliwa kipele lkn kwa hawa watu, nimevua kofia. Baba anaishi alikoolewa binti yake mwaka wa 5 sasa, hadi amekuwa sehemu ya familia.

Sijui wanyamwezi gani unawaongelea mkuu!!! we wakizamani sana!!
 
Mii naona mmesahau sifa moja. Hata kama mnaishi mjini ila lzm ununue shamba. Maana mama wa kinyamwezi kwa JEMBE. Hlf wengi wamepanda hewani. Kijana jiandae kuwa mbunifu ili kukabiliana nao hali kiyo. Na ukimuudhi ngumi mkononi. Mii mwenzio nammiliki benti wa kinyamwezi, so nina experince nao.
 
nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa

kWANZA WAMECHEZWA UNYAGO WANAJUA MIIKO YA NDOA NA WANAPOKUWA FIELD HAWAFANYI AJIZI ILA USIMAMIZI WA MAMBO YA UCHUMI NI WADHAIFU KAMA ILIVYO KWA MAKABILA MENGINE HAWAWEZI KUWA 100% PERFECT UTAANGALIA WEWE UNALENGA ZAIDI NINI WANA MARINGO SANA WANAPOKUWA JUU KIMAISHA NA HAWAPENDI KUNYANYASWA WAPO RADHI KUFA NJAA KULIKO KUDHALILISHWA AU KUNYANYASWA ZAIDI YA HAPO HAWAJINYONGI KAMA WAHEHE NA HAWAPIGI WAUME ZAO KAMA WAKURYA MAMBO MENGINE YANATEGEMEA FAMILIA HUSIKA NA SIUTAKAYOKUTA KWENYE FAMILIA MOJA UKADHANI NI YA KABILA LOTE
 
Wanyamwezi wana maneno matamu radhaa ya tende utamu wa kuzaliwa. Upo shemjiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kama hauwezi kutimiza jukumu la ndoa (fulfilling Parental duty) jiandae kubaki mpweke. maana wanachezwa..
 
Jiandae kupokea wageni kila siku,tena sio wakukaa siku moja au mbili.Wanakaa miezi au miaka. Mara leo kaja mkwe, kesho shemeji. Haijatulia kidogo anakuja mwingine.hadi utakoma. But the good thing is, they are humble.
 
Back
Top Bottom