The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,890
- 4,865
- Thread starter
- #21
Aaaah wapi ntaja kuwapa mrejeshoo humuMwamba imemaliza.
Wagombea tukatie nia tuone wajumbe wataamua namna gani.
Maendeleo hayana chama.

Aaaah wapi ntaja kuwapa mrejeshoo humuMwamba imemaliza.
Wagombea tukatie nia tuone wajumbe wataamua namna gani.
Maendeleo hayana chama.

I wish ungekuwa waona jinsi nilivo relax mkuu.Unateseka ukiwa pande zipi?!
Acha kusingizia kufa Dogo, wakati hata kusingizia kuzimia inaonesha wazi kwamba huwezi!
Sawa dadaaHaya endeleeni kutakana mpaka mtakapoambiana ukweli..
Kwann mkuuu wasema hivooNahisi nishakuwa mzee...am out!!!
I will taste uWw boya kweli

Tatizo moyo kaka, afu tabia za mke kabisa.Dogo mwanachuo tafuta fwedhaa, tafuta pesa, tafuta hela. Acha kutongoza vitoto vidogo viimba kwaya.
We jamaa miaka 20 sio mtoto huyuUnabaka vitoy
Hapa ndipo ulipokosea...huyo bado mtoto.....akifikisha 30 hamtasumbuanaTatizo moyo kaka, afu tabia za mke kabisa.
Dogo alikuwa ananambia Hadi habari za bible ananambia nisome bible, kifupi mtoto mzuri.
Moyo umefanyaje tena .....Tatizo moyo kaka, afu tabia za mke kabisa.
Dogo alikuwa ananambia Hadi habari za bible ananambia nisome bible, kifupi mtoto mzuri.
Utoto raha sanaMna miaka mingapi??🙄
Hako kadada sio wewe kweli..?Wewe ndo unateseka mkuu😂 ila anyway.. mtaambiana tu kuwa mnatakana😂
Wewe ndiyo mwenye tatizo, hasa pale unapojibu bila uangalifu. Majibu yako siyo mazuri na yanamkera. Yeye atajuaje unatania au umemaanisha kweli kiutani. Pia usidhani kila mtu anajuwa maana za kila emoji. Wakati mwingine unasoma msg kabla ya kuona emoji na ikiwa mbayo huendelei kuangalia lingine.
Hapana mie siteseki lakin naona behavioral changes zake since that day
NakaziaUnakwama Wapi km umtk block km unampenda bad keep going