Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Mmekutana chupa na mfuniko....
#childish
#childish
I see, basi sawa mzee...I wish ungekuwa waona jinsi nilivo relax mkuu.
Dogo hanisumbuiii kabisaaa
Wewe hizo Ni tabia za visichana si wanawakeNi udhaifu wa wanawake wengi kutumia status na fb stories kuwakomoa walioachana nao...
Block her everywhere..
Ahsante sana Noelia...Wewe hizo Ni tabia za visichana si wanawake
Kwa muandiko huu ni dhahiri una maumivu makali sana.Asalaam,
Kuna Uzi wangu nliupost huko nyuma ukisomeka... Nimekataliwa kisa mwanachuo...
Haka kadogo bwana, nlikaelewa na kama kangeonesha response nzuri mkuu ninge settle tufanye maisha.
Ahsante sana Noelia...
Na hapa wamekutana kisichana na kivulana vinajaribu kutishiana nyau...



kivulana na kisichanaSasa Hadi afike hiyo miaka mie nitakuwa nishaoa InshallahHapa ndipo ulipokosea...huyo bado mtoto.....akifikisha 30 hamtasumbuana
Kwanan boss, hili jiwe cjui umelielekezea wapiUtoto utoto mwingiii
Huwez ku ucontrol kutompendaMoyo umefanyaje tena .....
Nawe unataman urudi utotoni ndo basi TenaUtoto raha sana.

ASANTE KAKADogo komaa na kitabu, achana na mapenzi

Hako kadada sio wewe kweli..?





Sawa nitabadirikaWewe ndiyo mwenye tatizo, hasa pale unapojibu bila uangalifu. Majibu yako siyo mazuri na yanamkera. Yeye atajuaje unatania au umemaanisha kweli kiutani. Pia usidhani kila mtu anajuwa maana za kila emoji. Wakati mwingine unasoma msg kabla ya kuona emoji na ikiwa mbayo huendelei kuangalia lingine.
Kuhusu mchango, kwa nini ukurupike kumwambia ukiwa na shida ndiyo unanitafuta! After all, wewe ndiyo ulimpigia sasa yeye kukumbushia mchango kuna ubaya gani. Ungeweza ukamjibu hujapata, lakini ukamjibu kikaidi. Mtu kama wewe unaongea bila kuwa na hisia kuwa unachosema kina''hurt feelings..za yule unayeongea naye. In short, you are inconsiderate, hateful, self-serving, snobbish, and above arrogant.

NotedNakazia

Utoto raha sana wenzako washasemaMmekutana chupa na mfuniko....
#childish
Niki mmblock ataniona Niko affected na kile anafanyaNi udhaifu wa wanawake wengi kutumia status na fb stories kuwakomoa walioachana nao...
Block her everywhere..