Anadhani aki-post atanishtua

Anadhani aki-post atanishtua

Ni udhaifu wa wanawake wengi kutumia status na fb stories kuwakomoa walioachana nao...

Block her everywhere.
 
Nimecomment kukutukana ila nikafuta. Sema ni utoto wa akili, mwaka jana nami nilichangia uzi flani wa kitoto wakanishushua nikajiona boya sana. Miaka mitatu baadae utaona hizi nyuzi zako ujione ulivyokuwa fala yani unaita wafu JF kuwaeleza 'dogo' alivyokupiga kibuti uko Facebook
 
Asalaam,

Kuna Uzi wangu nliupost huko nyuma ukisomeka... Nimekataliwa kisa mwanachuo...

Haka kadogo bwana, nlikaelewa na kama kangeonesha response nzuri mkuu ninge settle tufanye maisha.
Kwa muandiko huu ni dhahiri una maumivu makali sana.
Pole ndio ujana
 
Wewe ndiyo mwenye tatizo, hasa pale unapojibu bila uangalifu. Majibu yako siyo mazuri na yanamkera. Yeye atajuaje unatania au umemaanisha kweli kiutani. Pia usidhani kila mtu anajuwa maana za kila emoji. Wakati mwingine unasoma msg kabla ya kuona emoji na ikiwa mbayo huendelei kuangalia lingine.

Kuhusu mchango, kwa nini ukurupike kumwambia ukiwa na shida ndiyo unanitafuta! After all, wewe ndiyo ulimpigia sasa yeye kukumbushia mchango kuna ubaya gani. Ungeweza ukamjibu hujapata, lakini ukamjibu kikaidi. Mtu kama wewe unaongea bila kuwa na hisia kuwa unachosema kina''hurt feelings..za yule unayeongea naye. In short, you are inconsiderate, hateful, self-serving, snobbish, and above arrogant.
Sawa nitabadirika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom