The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,890
- 4,865
- Thread starter
- #161
Nakapenda badooI still care about her!! That's the truth.. funga vioo songa mbele


Nakapenda badooI still care about her!! That's the truth.. funga vioo songa mbele


Namzimikia sema naogopa kuzama afu mwishowe AJe anipige tukiooWee mwenyewe unaonekana humzimikii kivile ndo maana pia unatafutaga vijisababu vya kumuondoa, ni vema ukamuacha na maisha yake kwani we si unaye ambaye umemfia
Mkuu where have u been
Uzi wote mrefu hivi kwa mtu ASIYEKUSTUA?
Nyie watoto mna vituko


Ndoivo.. huna namna mtafute muyajenge kabla hajamove on mazima!Nakapenda badoo![]()
Stori za Fesibuku na wapenzi wake....
Mkuu tafuta hela,, Mwanaume haachwi, ananuniwa tu..



mwanamme haachwi ananuniwa daaahSawa dadaaaNdoivo.. huna namna mtafute muyajenge kabla hajamove on mazima!
Vijana wa chuo mkishapokea mabumu mnaanza sumbua mitandaoni

lakini nahitaji ushauri wako piaaaInatafakaishaaHabari za muda!
Kwa wale wote mnaolalamika kwamba story ni ya kitoto, please nendeni jukwaa la siasa, hamjaitwa humu. Picha haihusiani na nilicho andikaView attachment 2015621


Wakati mwingine hizi dini n kichaka! Kulikuwa na mwamba fulani dini kinyama bt alivyobadilika sikutegemeaTatizo moyo kaka, afu tabia za mke kabisa.
Dogo alikuwa ananambia Hadi habari za bible ananambia nisome bible, kifupi mtoto mzuri.
Yawezekana mkuuu, kuna dogo mmoja ni mtoto wa pastor lakini mambo yake sio poaaWakati mwingine hizi dini n kichaka! Kulikuwa na mwamba fulani dini kinyama bt alivyobadilika sikutegemea
Seen