Anadhani aki-post atanishtua

Anadhani aki-post atanishtua

Wee mwenyewe unaonekana humzimikii kivile ndo maana pia unatafutaga vijisababu vya kumuondoa, ni vema ukamuacha na maisha yake kwani we si unaye ambaye umemfia
Namzimikia sema naogopa kuzama afu mwishowe AJe anipige tukioo
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uzi wote mrefu hivi kwa mtu ASIYEKUSTUA?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie watoto mna vituko
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzi wote mrefu hivi kwa mtu ASIYEKUSTUA?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie watoto mna vituko
Mkuu where have u been [emoji23][emoji23]

Ni sana chakuona MMU
 
Stori za Fesibuku na wapenzi wake....

Mkuu tafuta hela,, Mwanaume haachwi, ananuniwa tu..
 
Habari za muda!

Kwa wale wote mnaolalamika kwamba story ni ya kitoto, please nendeni jukwaa la siasa, hamjaitwa humu. Picha haihusiani na nilicho andika [emoji116][emoji116]
1636282490921.jpg
 
Tatizo moyo kaka, afu tabia za mke kabisa.

Dogo alikuwa ananambia Hadi habari za bible ananambia nisome bible, kifupi mtoto mzuri.
Wakati mwingine hizi dini n kichaka! Kulikuwa na mwamba fulani dini kinyama bt alivyobadilika sikutegemea
 
Wakati mwingine hizi dini n kichaka! Kulikuwa na mwamba fulani dini kinyama bt alivyobadilika sikutegemea
Yawezekana mkuuu, kuna dogo mmoja ni mtoto wa pastor lakini mambo yake sio poaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom