KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,760
- 86,419
Hebu mfatilie vizuri asijekuwa anakuchora tu..😃
Nahisi màaana naona Hadi reply kama zake
Hebu mfatilie vizuri asijekuwa anakuchora tu..😃
Nahisi màaana naona Hadi reply kama zake
Sawaa mkuuuI see, basi sawa mzee...
Sema dah... haya bhana!!!
Wewe hizo Ni tabia za visichana si wanawake


Mi naona zaidi ya hapo kbsKabisa yaani...
Au we unaonaje?!

Nimecomment kukutukana ila nikafuta. Sema ni utoto wa akili, mwaka jana nami nilichangia uzi flani wa kitoto wakanishushua nikajiona boya sana. Miaka mitatu baadae utaona hizi nyuzi zako ujione ulivyokuwa fala yani unaita wafu JF kuwaeleza 'dogo' alivyokupiga kibuti uko Facebook



Ahsante sana Noelia...
Na hapa wamekutana kisichana na kivulana vinajaribu kutishiana nyau...

aiseee hii nchi ngumu sana.Asante ila Sina maumivu kabisaKwa muandiko huu ni dhahiri una maumivu makali sana.
Pole ndio ujana
Na hide ID yake mkuu may be ni ndugu yako au unamjua kabisaWeka picha yake kwanza, maana hbr bila picha ni sawa na Ugari bila mboga.
Acheni zenu nyieeeKabisa yaani...
Au we unaonaje?!

Sawa ngoja nije na ID mpyaaHebu mfatilie vizuri asijekuwa anakuchora tu..![]()
Kwamba mnataka msemajeeMi naona zaidi ya hapo kbs![]()
Ukimblock anakuonaje mkuu!??Niki mmblock ataniona Niko affected na kile anafanya
Basi tuendelee kucheki status na mengineyo to the end mapenzi matamuAsante ila Sina maumivu kabisa
Hadithi za sizitaki mbichi hiziKwamba mnataka msemajee
Kaka kule kuna madini sana, usiache tembeleaaMkuu unatumia jina gani fesibuku?
Msiba usikie kwa jirani tuHadithi za sizitaki mbichi hizi
Sifanyi hiyoo kitu na taka nione umbali ataoenda bila kuwasiliana nami then ntawapa mrejeshoBasi tuendelee kucheki status na mengineyo to the end mapenzi matamu
Mkuu unatumia jina gani fesibuku?


sasa SI na disclose ID mkuuu mwishowe uje unipost hukuSorry atahisi naumjzwa na moves zakeUkimblock anakuonaje mkuu!??