Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,328
- 11,463
Kuna mshkaji wangu kaamua kuachana na utumwa wa kuajiriwa. Amekusanya kiasi cha Tsh. 400k na kuniomba ushauri wa kipi afanye ili asije kujuta
Nimemwambia anipe muda nimuangalizie. Na muda huo nalileta suala hili mbele ya JF, where we dare to talk openly.
Anaishi Manzese Dar es salaam. Amekataa kata kata biashara ya kubet ama Folex
Ushauri wenu ndugu katika Bwana...
Nimemwambia anipe muda nimuangalizie. Na muda huo nalileta suala hili mbele ya JF, where we dare to talk openly.
Anaishi Manzese Dar es salaam. Amekataa kata kata biashara ya kubet ama Folex
Ushauri wenu ndugu katika Bwana...