Amri kumi kwa wapendao ofa

Amri kumi kwa wapendao ofa

sweetlady we ndo waniminyia jicho bana naona unataka nikupende kwa lazima sijui Nicas Mtei hakutoshelezi na jana uliniomba offer ya kwenda Kibo palace sijui ukale chakula cha kienyeji
Wife Mamndenyi achana na huyu bana anaomba offer za kahawa chungu
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, usivunjike mbavu bana.....
shem wangu Nicas Mtei hatanisamehe kwa kuvunja mbavu za mupenzi..... chezeya penzi weye....
tangu mdogo wangu snowhite atangaze kuacha ubaunsa (eti tunajiandaa kwa jr.) basi nimekuwa muoga kweli...... sina wa kunitetea, kwa hiyo inabidi nifiche bawa langu mwenyewe, lol!

Hahahaha. sweetlady atakuwa mtetezi wako.
 
Last edited by a moderator:
sweetlady we ndo waniminyia jicho bana naona unataka nikupende kwa lazima sijui Nicas Mtei hakutoshelezi na jana uliniomba offer ya kwenda Kibo palace sijui ukale chakula cha kienyeji
Wife Mamndenyi achana na huyu bana anaomba offer za kahawa chungu

Thibitisha ulichoandika vinginevyo majungu dot com kama ya Baba V

Na kwataarifa yako kwa Nicas Mtei ndio nimefika kigoma mwisho wa reli, ananipenda nampenda hayo majungu yako wala hayasaidii , ni upepo tu utapita!
 
Last edited by a moderator:
Thibitisha ulichoandika vinginevyo majungu dot com kama ya Baba V

Na kwataarifa yako kwa Nicas Mtei ndio nimefika kigoma mwisho wa reli, ananipenda nampenda hayo majungu yako wala hayasaidii , ni upepo tu utapita!


Au niweke risiti za chakula cha jana ulichokula zina muhuri wa kibo palace na jina lako sweetlady aka kimodo kuthibitisha kuwa hakuna udanganyifu na picha za waliokuwa wamekaa na wewe meza moja na namna ulivyoondoka na chupa ya wine pale mezani kisa eti huwezi kuacha pesa ipotee bure
Wapi wewe eti kwa Nicas Mtei nimefika kwa nitonye ulisema hivyo hivyo na kwa Chimbuvu hivyo hivyo na kwa zile nyumba ndogo zako zote
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom