Amri kumi kwa wapendao ofa

Amri kumi kwa wapendao ofa

Nishashikamana wifi..... Ukiweza niletee super glue nizidi kujigandisha manake hapa nimefika
ha haaa, unafikiri shem wangu Nicas Mtei anahitaji super glue? yaani wewe cheza kwa step tu, baaasssssiiiiiiiiii!
kwa maelezo zaidi mtafute mdogo wangu snowhite akumegee step zinazowadatisha
 
Last edited by a moderator:
tumeambiwa tuchague offer, ndo tupo kwenye mchakato....
na wewe unga tela rafiki, chagua yako


Hahahhahhaha.....wifi nimecheka kwa sauti lol.... Sikutegemea jibu fasaha kama hili hahahaha
 
Tukutane mahakamani mpalu
lakini tusilaumiane baadae....niko ofisini kwa Rutta hapa nampa maelekezo ya mwisho.kabla hajaandaa hati ya mashitaka....na kwa taarifa anasema kwamba huchomoki hapa......halafu nimemwona Passion Lady hapa analilia lunch kwa rutta badala ya kumwacha ahadumie wateja
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom