Amri kumi kwa wapendao ofa

Amri kumi kwa wapendao ofa

lakini tusilaumiane baadae....niko ofisini kwa Rutta hapa nampa maelekezo ya mwisho.kabla hajaandaa hati ya mashitaka....na kwa taarifa anasema kwamba huchomoki hapa......halafu nimemwona Passion Lady hapa analilia lunch kwa rutta badala ya kumwacha ahadumie wateja

wateja wanahudumiwa
kwa muda stahiki
lunch tym ikifika ni zamu yangu mpalu!!
 
Last edited by a moderator:
1. Muheshimu anayekununulia
2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini
3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofaa
4. Daima jitolee kufuata na kubeba vinywaji toka kaunta
5. Mtoa ofa akikutuma popote usikatae
6. Mtoa ofa akiupenda muziki fulani, we anza kucheza kwa bidii kabisa
7. Usiwe msafi kuliko mtoa ofa
8. Usinywe kwa pupa, kunywa mafunda madogomadogo
9. Usitamani mpenzi wa mtoa ofa hata kama ndie mke wako
10. Mtoa ofa akitoa kichekesho cheka sana hata kama hakichekeshi
KUMBUKA……Mtoa ofa akiwa Man U na wewe Man U, akiwa Chelsea na wewe hivyo hivyo. Akiwa CCM na wewe onyesha kadi kabisa, akiwa CHADEMA onyesha kadi na katiba…kifupi uwe umejitayarisha kila wakati.

mh.....hii topic na ule uzi wangu kule cc...kama inanihusu vile...!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom