Amri kumi kwa wapendao ofa

Amri kumi kwa wapendao ofa

Hahahahaha mchaga na kahawa toka lini jamani aaaaaaah, si useme tu Mr Rocky hana hela khaaaaaa


Dah sweetlady we unajua kahawa kama kahawa kuna cappuccino nayo ni kahawa na pale kuna na mvinyo bana wewe vipi au za kwako ni kuishia unga limited na tandale kwa mtogole
 
Last edited by a moderator:
tatizo sijui niseme ni ushamba au utaona nimeenda ndani sana
hapa bongo nenda mlimani city kikombe kidogo cha kahawa ni shilingi za ktz elfu tano
sasa sijui ulanzi unaotumia na huyo mpenzi wako Nicas Mtei lita moja ni bei gani
imekuwa aghali ni sh mia tano tu,

watu tupo kwingine jamani usishangae kahawa, mumeo kweli hanunui kama
uongo tukutane m/city saa moja jioni uone.

Hahahahaha mchaga na kahawa toka lini jamani aaaaaaah, si useme tu Mr Rocky hana hela khaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
tatizo sijui niseme ni ushamba au utaona nimeenda ndani sana
hapa bongo nenda mlimani city kikombe kidogo cha kahawa ni shilingi za ktz elfu tano
sasa sijui ulanzi unaotumia na huyo mpenzi wako Nicas Mtei lita moja ni bei gani
imekuwa aghali ni sh mia tano tu,

watu tupo kwingine jamani usishangae kahawa, mumeo kweli hanunui kama
uongo tukutane m/city saa moja jioni uone.

hahahaha. Kahawa kikombe hamsini. Kashata mia. Jumla 150. Kidate over
 
Last edited by a moderator:
Kwa hadhi ya watu8 hawezi kutembelea kibaby walker aise yaani yule ni mtu wa V8 na Vogue may be alimpa house gal wake

Land-Rover-Range-Rover-Vogue-3.jpg


CC: Nicas Mtei
 
Mtakuja guest house 2000 jumla kuu 2150 .....hahahahahahahaha Mr Rocky na Mamndenyi mmetishaa mbayaaaaaa


Guest wapi sweetlady kukuridhisha ni kuwa tunaenda kwenye mashamba ya kahawa kule burka tunatandika kanga chini mambo yanaishia na hiki kipindi cha baridi kuna mkeka kabisa
copy kwa sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Guest wapi sweetlady kukuridhisha ni kuwa tunaenda kwenye mashamba ya kahawa kule burka tunatandika kanga chini mambo yanaishia na hiki kipindi cha baridi kuna mkeka kabisa
copy kwa sosoliso

ha ha ha.. Mr Rocky ulikuwa unaogopa kumpeleka Mamndenyi geto angeng'angania ndani eeh na akapiga kelele.. ha ha ha..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom