Amri kumi kwa wapendao ofa

Amri kumi kwa wapendao ofa

hongera lakini uchoyo acha!
manake za kimila ndio hazina hata michango na watu twaja tuuuuu
mila gani hizoo

Paloma nawe acha kumsumbua husband bana, tunajipanga kufanya nyingine ya kimjini mjini hivyo usijali, andaa tumbo tu
 
Last edited by a moderator:
Au niweke risiti za chakula cha jana ulichokula zina muhuri wa kibo palace na jina lako sweetlady aka kimodo kuthibitisha kuwa hakuna udanganyifu na picha za waliokuwa wamekaa na wewe meza moja na namna ulivyoondoka na chupa ya wine pale mezani kisa eti huwezi kuacha pesa ipotee bure
Wapi wewe eti kwa Nicas Mtei nimefika kwa nitonye ulisema hivyo hivyo na kwa Chimbuvu hivyo hivyo na kwa zile nyumba ndogo zako zote

Kudadadeki. We mjamaa unajua kutengeneza matukio. We ndo Mwagulu Manjemba?
 
Last edited by a moderator:
Au niweke risiti za chakula cha jana ulichokula zina muhuri wa kibo palace na jina lako sweetlady aka kimodo kuthibitisha kuwa hakuna udanganyifu na picha za waliokuwa wamekaa na wewe meza moja na namna ulivyoondoka na chupa ya wine pale mezani kisa eti huwezi kuacha pesa ipotee bure
Wapi wewe eti kwa Nicas Mtei nimefika kwa nitonye ulisema hivyo hivyo na kwa Chimbuvu hivyo hivyo na kwa zile nyumba ndogo zako zote


Honey Nicas Mtei hebu mwambie huyu jana tulikuwa wapi siku nzima mimi na wewe
 
Last edited by a moderator:
Honey Nicas Mtei hebu mwambie huyu jana tulikuwa wapi siku nzima mimi na wewe


Ulikuwa nae baada ya saa za kazi ila wakati wa kazi uko kibo palace unakunywa wine ukirudi home big gee kwa sana eti hata mumeo asijue umetoka wapi sweetlady
Siku nzima ya wapi wakati unadanganya unaenda kazini ukifika kazini unamdanganya boss una important meeting nje ya ofisi kumbe unaishia kibo palace
 
Last edited by a moderator:
Ulikuwa nae baada ya saa za kazi ila wakati wa kazi uko kibo palace unakunywa wine ukirudi home big gee kwa sana eti hata mumeo asijue umetoka wapi sweetlady
Siku nzima ya wapi wakati unadanganya unaenda kazini ukifika kazini unamdanganya boss una important meeting nje ya ofisi kumbe unaishia kibo palace

Unamzidi Erickb52 kwa kipaji cha upishi wa majungu
 
Last edited by a moderator:
Ulikuwa nae baada ya saa za kazi ila wakati wa kazi uko kibo palace unakunywa wine ukirudi home big gee kwa sana eti hata mumeo asijue umetoka wapi sweetlady
Siku nzima ya wapi wakati unadanganya unaenda kazini ukifika kazini unamdanganya boss una important meeting nje ya ofisi kumbe unaishia kibo palace

Utajunguka sana mwaka huu Mr Rocky, I love my husband very much and am sure he loves me too, dont waste your time baba
 
Last edited by a moderator:
Dah aise kuna watu wabishi hata waone utepe mwekundu watabisha waseme ni mweupe
copy kwa sweetlady na Nicas Mtei
@mamndenyi twende zetu bana kuna bardi sana kwa sasa tukapate kahawa pale Palace Hotel bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom