Ana tabia za ndugai.
Aliyegawa ubunge ni charminglady. Mfuate umpe ofa
hivi yule mwanasheria wako anaitwa nani vile........nimpe dili la kufungua kesi kabisa......hii ni kashfa ya wazi kabisa.....na sitaki majadiliano nje ya mahakama......
usijali huyu alikuwa ni mkwe wangu kwa binti yangu mrembo
ila yamemshinda kwa hiyo endelea naye tu.
Sijawahi fika juani, hii pia naweza pata?mhh FP wewe sema ofa gani unataka hata kama ni ya kwenda kutalii Hawaii utapata
that's my shem, keep it up!She is my wife. I have an authority to defend her popote pale..
Daah.. kama ni limbwata basi limekukolea, amka babu jinga unachezewa shere wewe... ohoo...!!!
Shindwaaaa.... mie ndiye natoa ofaaa!!
that's my shem, keep it up!
Honey Nicas Mtei hapa nahitaji maelezo ya kina kabla sijanuna
Okay. Tukutane Koro bich
that's my shem, keep it up!