Amri kumi kwa wapendao ofa

Amri kumi kwa wapendao ofa

Naenda kumuona Ruttashobolwa aniwakilishe kwenye hii kesi na nampa ofa ya kukutembelea kwako



Wapi sweetlady mume wa kubandika tuu huyo tunamjua mumeo halisi ni nani hapo unamchuna tuu Nicas Mtei



mhh FP wewe sema ofa gani unataka hata kama ni ya kwenda kutalii Hawaii utapata




Ilikuwa enzi hizo anakuchuna tuu wala alikuwa hana mpango na wewe ukajipendeleza weee mpaka ukauza kivitz chako kisa umpate na akakutosa vile vile

Unamtetea Mamndenyi? Ye anapewa ofa halafu anakupa wewe. Halafu kile ki baby walker{Vitz} nlmpa baba mkwe watu8
 
Last edited by a moderator:
1. Muheshimu anayekununulia
2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini
3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofaa
4. Daima jitolee kufuata na kubeba vinywaji toka kaunta
5. Mtoa ofa akikutuma popote usikatae
6. Mtoa ofa akiupenda muziki fulani, we anza kucheza kwa bidii kabisa
7. Usiwe msafi kuliko mtoa ofa
8. Usinywe kwa pupa, kunywa mafunda madogomadogo
9. Usitamani mpenzi wa mtoa ofa hata kama ndie mke wako
10. Mtoa ofa akitoa kichekesho cheka sana hata kama hakichekeshi
KUMBUKA……Mtoa ofa akiwa Man U na wewe Man U, akiwa Chelsea na wewe hivyo hivyo. Akiwa CCM na wewe onyesha kadi kabisa, akiwa CHADEMA onyesha kadi na katiba…kifupi uwe umejitayarisha kila wakati.

Nakala kwa JF Rock City Wing.... Naomba next meeting niwe mtoa ofa ili nifanyiwe haya yote....

Mmesikia wooote... ram, Rock City, Home First, Elizabeth Dominick, ThinkPad na wageni wote watakaofika!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Tangu akubali kubambikiwa mtoto unajifanya unampeeenda...!! kumbe wizi mtupu.

Inakuhusu? Mi nikiibiwa we unakatika miguu? We una uhakika gani kuwa watoto aliozaa Mama v ni wa kwako?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom