Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Me naona angemuongezea na nyingine tatu kwa ajili ya wanaume wote

#Nampongeza sana
Mpumbavu wewe alikuomba umsomeshe ? Alikuandikia barua ya kuwa wewe uwe mfadhili.wake kumsomesha au kugharimia ? Si ujinga wako mwenyewe

Hizo zinaitwa gharama za mapenzi za ikijikomba ili akukubali akuone wewe ndie mwenyewe .Mpumbavu wewe

Oa walio tayari kuolewa bila kuvhelewesha acha kuwinda wanaosoma wakiandaa future zao
 
Mpumbavu wewe alikuomba umsomeshe ? Alikuandikia barua ya kuwa wewe uwe mfadhili.wake kumsomesha au kugharimia ? Si ujinga wako mwenyewe

Hizo zinaitwa gharama za mapenzi za ikijikomba ili akukubali akuone wewe ndie mwenyewe .Mpumbavu wewe

Oa walio tayari kuolewa bila kuvhelewesha acha kuwinda wanaosoma wakiandaa future zao
Shauri yako na wewe!! endelea kumcheat aliekusomesha!!
Si ndio mnavyojitetea!!??
Kumbuka tukija na vyuma huwa hatutoi nafasi ya kujitetea
 
Kazi ya kusomesha ni ya wazazi ,ndugu na bodi ya mikopo

Mshenzi huyo anajipa jukumu.lisilo lake
@YEHODAYA natamani ungekuwa wangu ili nikunyooshe vizuri, maana naona una tabia kama za marehemu
 
Hiyo si ilitokea Uganda mkuu miaka ya nyuma au hii imetokea wapi tena??
 
Kazi ya kusomesha ni ya wazazi ,ndugu na bodi ya mikopo

Mshenzi huyo anajipa jukumu.lisilo lake
'Kazi ya kusomesha ni ya wazazi ,ndugu na bodi ya mikopo
Mshenzi huyo anajipa jukumu.lisilo lake"

Hilo nalo Neno. Wanaume Eee.Tahadhari. Usijiingize mahali kichwa-kichwa -Itakula kwako.
 
Kwani ulikuwa unamuuzia?Yan alikuwa analipia huduma hiyo?
Na ni kwa nini usijenge hoja ili muachane kistaarabu badala yake ww unamtelekeza ghafla na anakuja kusikia huko pembeni baadaye kwamba ulishamtema. Je,huoni kwamba hiyo inaumiza? Achaneni kwa amani kama mlivyoanza.
Kuuza nini? Si walikuwa kwenye mahusiano. Mtu huna hisia nae tena ni hoja gani unajenga hapo!!
 
Ameyataka
Aisee ogopa sana mwanaume anayekugaramia kwa kila kitu alf siku umfanyie ndivyo sivyo anaweza kukufanya kitu hutoamini kama ni yeye

Note:ukiona huwezi kutulia na mtu usikubali chochote kutoka kwake
Pesa ni ngumu sana. Hata kwa wale wenye nazo usidhani wanazipata kirahisi
 
Haya mambo kila siku huwa tunaongea kwenye kikao chetu wanaume

Ndo madhara ya kudoji vikao
Ona sasa lahaulah
 
Kwani ulikuwa unamuuzia?Yan alikuwa analipia huduma hiyo?
Na ni kwa nini usijenge hoja ili muachane kistaarabu badala yake ww unamtelekeza ghafla na anakuja kusikia huko pembeni baadaye kwamba ulishamtema. Je,huoni kwamba hiyo inaumiza? Achaneni kwa amani kama mlivyoanza.
Watu wanasomesha mpaka wake zao na bado wanasalitiwa sembuse mchumba tu
 
UNASOMESHA? KIMBELE MBELE CHA NINI? HANA BABA? MAMA?
KAMA WAZAZI HAWEZI WEWE NI NANI?

ANYWAY, RISASI 10 HAZITOSHI.
 
Bro, Do you know how she was when I met her? Anyway MHSRP.
.. the guy anaonekana alikuwa na matatizo na huto mwanamke hata kwenye mahusiano wapo wanaume ambao wanahonga wanawake wakiamini wataweza kuwa control kupitia njia hiyo.. na kusahau mambo mengine ya msingi kwenye mapenzi kwamba mwanamke na udhaifu wake pia anahitaji kuheshimiwa n.k

Plus wanaume tumeumbiwa mateso.. so ikitokea umepoteza mwanamke mmoja kwa vyovyote vile bado bahari iko na samaki wengi wa kuvua.. YOLO

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo Hasira iliyopitiliza ifanyavyo kazi - alipiga 1 hasira ikazidi kupanda,akapiga ya 2 ,akajawa na munkari akapiga ya 3,4,5 akakumbuka gharama aliyopoteza kwa miaka yote akamshindilia ya 6,7, na ya 8 ndipo akabaini kumbe hela yake haitorudi tena ndipo akasema Kudadek yote haya yamesababishwa na huyu? akapiga ya 9 na ya 10. Dah! salio likawa limeisha. 😳 😳
Wanawake chukueni tahadhari pls.
Umeongea kwer mwamba
 
Risasi moja haikutosha?
Yani nidhamirie kukuua alafu nikupige risasi moja, inakuingia akilini kweli!!? Mm ningeenda na sub_machine gun au uzi yaani wakija kukubeba mzoga wafanye kukuzoa na chepe
 
Back
Top Bottom