YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,033
Mpumbavu wewe alikuomba umsomeshe ? Alikuandikia barua ya kuwa wewe uwe mfadhili.wake kumsomesha au kugharimia ? Si ujinga wako mwenyeweMe naona angemuongezea na nyingine tatu kwa ajili ya wanaume wote
#Nampongeza sana
Hizo zinaitwa gharama za mapenzi za ikijikomba ili akukubali akuone wewe ndie mwenyewe .Mpumbavu wewe
Oa walio tayari kuolewa bila kuvhelewesha acha kuwinda wanaosoma wakiandaa future zao

Anyway MHSRP.
