Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Ila mwamba Kwa zile risasi za kichwaaa
Hahahah .. Amefyatuaa kama vile hana akili vizur
Ndiyo Hasira iliyopitiliza ifanyavyo kazi - alipiga 1 hasira ikazidi kupanda,akapiga ya 2 ,akajawa na munkari akapiga ya 3,4,5 akakumbuka gharama aliyopoteza kwa miaka yote akamshindilia ya 6,7, na ya 8 ndipo akabaini kumbe hela yake haitorudi tena ndipo akasema Kudadek yote haya yamesababishwa na huyu? akapiga ya 9 na ya 10. Dah! salio likawa limeisha. 😳 😳
Wanawake chukueni tahadhari pls.
 
Sema hii siyo bongo , bongo navyoijua mimi taarifa zingeenea kwenye vyombo vy
otee vya habari
 
Mi naona kafanya sawa kabisa.
Bado wale wanaokula nauli, dawa yao inahitajika mapema sana
😁😁😁 Dah utakuwa umeliwa sana nauli,maana umeandika kwa hisia sana
 
Ndiyo Hasira iliyopitiliza ifanyavyo kazi - alipiga 1 hasira ikazidi kupanda,akapiga ya 2 ,akajawa na munkari akapiga ya 3,4,5 akakumbuka gharama aliyopoteza kwa miaka yote akamshindilia ya 6,7, na ya 8 ndipo akabaini kumbe hela yake haitorudi tena ndipo akasema Kudadek yote haya yamesababishwa na huyu? akapiga ya 9 na ya 10. Dah! salio likawa limeisha. 😳 😳
Wanawake chukueni tahadhari pls.

Imetokea wapi hiyo?
 
Hili nalo likatizamwe ....
Haiwezekanii mwanaumee ukamsomeshee mtt wa mtu mwinginee ,ingali una ndugu zako hawanaa ELIMU unayotaka kumpaa ma***ya uliyekutana naye kisaa ny**ge
Ujinga mtupu na wewe mpumbavu.kabisa akili huna

Mwanamke hafanyiwi booking kama tiketi ya ndege au basi

Ukifika wakati wa kuoa .Tafuta wa kuoa ambaye yuko tayari kuolewa anytime na wako kibao

Vidume vyote mpumbavu.kabisa hujifanya vina book.ohh ukimaliza masomo nitakuoa vipumbavu

Kuoa hakuna booking.Ukiwa tayari Tafuta wa kuoa umuoe aliye tayari kuolewa
 
Alafu pesa ulizozitafuna unazirejeshaje sasa kwa mfano? Maana mla uliwa ukipenda kula jua ipo siku na wewe utaliwa, pesa ulizolipiwa matumizi na ada unazirudisha au ndio kujifanya ujuaji!? Hapo ndio unapojikuta umepigwa na vitu vizito kichwani maana taamaa zimekuponza, umependa pochi utimize matakwa yako ikiwa jamaa haumtaki

Sio fair, na usijaribu kufanya hivyo tutakupoteza
Sasa narudishaje!! Kwani kwa kipindi tulichokuwa kwenye mahusiano si tulihudumiana!! Acheni hizooo.

Kwahiyo kama hisia nawe zimeisha niendelee tu kujilazimisha kuwa na wewe? Hebu kuweni waelewa.
 
Sasa narudishaje!! Kwani kwa kipindi tulichokuwa kwenye mahusiano si tulihudumiana!! Acheni hizooo.

Kwahiyo kama hisia nawe zimeisha niendelee tu kujilazimisha kuwa na wewe? Hebu kuweni waelewa.
Kwani ulikuwa unamuuzia?Yan alikuwa analipia huduma hiyo?
Na ni kwa nini usijenge hoja ili muachane kistaarabu badala yake ww unamtelekeza ghafla na anakuja kusikia huko pembeni baadaye kwamba ulishamtema. Je,huoni kwamba hiyo inaumiza? Achaneni kwa amani kama mlivyoanza.
 
Ujinga mtupu na wewe mpumbavu.kabisa akili huna

Mwanamke hafanyiwi booking kama tiketi ya ndege au basi

Ukifika wakati wa kuoa .Tafuta wa kuoa ambaye yuko tayari kuolewa anytime na wako kibao

Vidume vyote mpumbavu.kabisa hujifanya vina book.ohh ukimaliza masomo nitakuoa vipumbavu

Kuoa hakuna booking.Ukiwa tayari Tafuta wa kuoa umuoe aliye tayari kuolewa
Je, vijike vinavyoitikia"basi sawa" na vinaingia kwenye mahusiano yenye makubaliano fulani e.g. "ukimaliza shule nitakuoa" unaviweka fungu gani?
 
Je, vijike vinavyoitikia"basi sawa" na vinaingia kwenye mahusiano yenye makubaliano fulani e.g. "ukimaliza shule nitakuoa" unaviweka fungu gani?
Mtongozajiji akili hana na chenyewe akili hakina

Wote hapo hakuna mwenye akili



Jibu linatakiwa liwe kwa sasa niachevnisome nisome au tusome mengine tuombe Mungu huko mbeleni kama tutahitaji kuoana baada ya kumaliza masomo

Mimi au wote kama tunasoma sitaki distacration niache nisome au tusome tuaachane na distraction tu concentrate kwenye masomo.If God wishes tutaoana.kama Mungu akipenda lakini sio Guarantee. Kila mtu aombe Mungu kuanzia tukimaliza masomo sio sasa tusije feli bure
 
Back
Top Bottom