Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Mwanamke wakumsaidia uliyefunga naye ndoa tu mjadala umefungwa,kila mtu aangalie hamsini zake
kwahali ya sasa, sioni kama kuna umuhimu wa ndoa maana hamsaidiani mnazugiana kwakuwa wote mmevunja zile vows zenu maana watu wanacheat mpaka unasema, siitaji kifungu au sheria iniambie niishi na mtu maana ni uhuni uhuni tu.
 
Mnachofanya ni kitu kizuri sikupingi. Kumsaidia mtu ni jambo jema...
Ila unatakiwa uwe na akili kwamba ninavyomsaidia hivi sio guarantee aje kuwa mke wangu baadae au asikusaliti.

Pesa yako haitamfanya akupende zaidi..kama hakupendi ataendelea kutokukupenda haijalishi mapesa utakayomwaga. Na siku akimpata anayempenda atakuacha mchana kweupe.
So do it at your own risk.
Nimeshakwambia sister, wengi wanaoamua kumsomesha mwanamke sikwaajili ya kutaka kupendwa sana. Nope! Wengi hutaka kujenga maendeleo, ndio maana unaona pamoja na campaign nyingi zakutosomesha wachumba ila bado kuna watu wanafanya.

Mwanamke mara nyingi huwaza kesho na leo yake tu ila mwanaume ukiwaza hivyo😂😂😂😂 familia itakushinda kuiendesha.

Siku ukiwapata waliofsnyiwa hivyo, kaa chini uwasikilize utajua lengo sio kuongeza upendo wala kuhonga bali anaanza kukaza nati za stable family kwasababu anaplan ahead of time.
 
Ni kweli usemayo ila mwanamke uliyemuoa kumsaidia ni sawa,maana ni wako isapitishwa na viongozi wa dini,wanawake wa siku hizi wanatumia mnzuri wao kutafuta pesa,anaweza akaupa maneno manzuri sana unajikuta unampa pesa kibao,mwisho wa siku anakubwaga,nimejifunza sana nikitaka kumsaidia mwanamke nampa tu kama msaada
Mkifanya hivyo kwa wake zenu ni sahihi.
Kwa wapenzi mtakuja kulia.
Mchumba hasomeshwi.
 
Nimeshakwambia sister, wengi wanaoamua kumsomesha mwanamke sikwaajili ya kutaka kupendwa sana. Nope! Wengi hutaka kujenga maendeleo, ndio maana unaona pamoja na campaign nyingi zakutosomesha wachumba ila bado kuna watu wanafanya. Mwanamke mara nyingi huwaza kesho na leo yake tu ila mwanaume ukiwaza hivyo😂😂😂😂 familia itakushinda kuiendesha. Siku ukiwapata waliofsnyiwa hivyo, kaa chini uwasikilize utajua lengo sio kuongeza upendo wala kuhonga bali anaanza kukaza nati za stable family kwasababu anaplan ahead of time.
Kama lengo sio kuongeza upendo inakuaje akisalitiwa apanic na wengine kuua?
Wengi leo Lao ni kudumisha mapenzi, wanaamini kuwa bila pesa hawatapendwa. Wanaofanya kwa kusaidia ni wachache.

Na wengi tu tunawaona baada ya penzi kuisha wanadai zawadi zote kubwa walizozitoa...kama ni simu, gari na vingine vingi wanaenda kuvidai.

Hujawahi kuwasikia wa namna hiyo?
 
Kama lengo sio kuongeza upendo inakuaje akisalitiwa apanic na wengine kuua?
Wengi leo Lao ni kudumisha mapenzi, wanaamini kuwa bila pesa hawatapendwa. Wanaofanya kwa kusaidia ni wachache.

Na wengi tu tunawaona baada ya penzi kuisha wanadai zawadi zote kubwa walizozitoa...kama ni simu, gari na vingine vingi wanaenda kuvidai.

Hujawahi kuwasikia wa namna hiyo?
😂😂😂 haya sista, mimi hivyo vitu sijapitia hivyo siwezi elezea zaidi. Ila mwisho wa yote inakupa mwangaza kuwa ndoa is overrated.
 
Kumsomesha mwanamke siyo tatizo, kama lengo lako ni kumsaidia huyo mwanamke ili aweze kujitegemea.
Mfano: kama, mke wako ana watoto wa 5, na unataka umsaidie ili ajitegemee mpe elimu kwa ajili yake na watoto wenu hata akitoroka si tatizo kubwa. Au umeamua tu kumsaidia basi msomeshe kwa manufaa yake.
Ila kama una lengo la kuishi naye milele na mmependana akiwa ameishia Drs la 7, usithubutu kumsomesha utapata hasara mara nne:
(1) Hasara ya fedha
(2) Upweke
(3) Msongo wa mawazo.
(4) Utadharaulika.
Huyo jamaa aliyeua amefanya uharibifu mkubwa sana:
(1) Ameua nguvu kazi ya taifa
(2) Uharibifu wa Mali(kusomesha wasio mhusu).
Ila duniani hapa, watu tunatofautiana sana:
Wakati, mwanamke anafikiri jinsi ya kumshinda mwamba kwa njia ya sheria,
Mwamba anaingia na hoja ya mwaga mboga, namwaga ugali.
 
Mkisaidiwa shida,tukiwanyima misaada nayo pia shida,sijui Wanawake mnataka nini!? Pesa au Six pack!!??
Sisi hatuna shida, tunataka mtusaidie.

Shida mnayo nyie kuamini kwamba ukimsaidia hatakuacha.
 
Mnachofanya ni kitu kizuri sikupingi. Kumsaidia mtu ni jambo jema...
Ila unatakiwa uwe na akili kwamba ninavyomsaidia hivi sio guarantee aje kuwa mke wangu baadae au asikusaliti.

Pesa yako haitamfanya akupende zaidi..kama hakupendi ataendelea kutokukupenda haijalishi mapesa utakayomwaga. Na siku akimpata anayempenda atakuacha mchana kweupe.
So do it at your own risk.
Sasa na wwe Kama humpendi Mtu from inside,kwa Nini uni bebishe kwake na mapenzi Moto Moto,si umwambie ukweli kuwa wwe si kupendi K nakuuzia tu,ili ajuwe Kama anakaa au anasepa zake!!??
 
Sasa na wwe Kama humpendi Mtu from inside,kwa Nini uni bebishe kwake na mapenzi Moto Moto,si umwambie ukweli kuwa wwe si kupendi K nakuuzia tu,ili ajuwe Kama anakaa au anasepa zake!!??
Mapenzi hayapo hivyo na unaelewa.

Unaweza ukampenda mtu vizuri ila baadae unaona huyu hakufai kutokana na sababu mbali mbali.

Sasa huwezi nilazimisha nisikuache kisa tu umenisomesha. Nakuacha naenda kwa ambaye ana muelekeo ninaoutaka.
 
Mie naona kilichomponza huyu Dada ni MDOMO na kejeli..

Chanzo cha kusomeshwa sio hoja kuu ktk huu muktadha.

Wanawake Chungeni Ndimi zenu, hii inaweza kukutokea hata kama hujasomeshwa.

Toeni kauli nzuri.
 
Kuweka matarajio kwa mwanamke ni moja ya uwekezaji wa ovyo zaidi unaofanywa na wanaume wapumbavu ambao hulipa gharama kwa kujifunza mapenzi kwa njia ngumu sana.
Wanakuwaga washamba au malimbukeni wa mapenzi.
 
Kuna vitu wanawake huwa wanajitafutiaga tu kama upendi kusomeshwa bs sema mapema acha kutumia ghrama za msela ujui

Anapataje pesa zake kukusomesha wewe
Nia yake ni baadae awe mke msomi
Lkn kumbe kuna boya huko anakula mzigo kizembe nadhani amelipwa kwa zinaa alizofanya huyo demu mwache afe tu mm
Siwez kuhuzunika.
Sawa kamuua je nayeye atabaki na amani hapa duniani? Hiyo inakuwa sio tiba yule sawa kafa wewe huku unabaki unateseka labda nawe ujiue kabisa
 
Mapenzi hayapo hivyo na unaelewa.

Unaweza ukampenda mtu vizuri ila baadae unaona huyu hakufai kutokana na sababu mbalimbali.

Sasa huwezi nilazimisha nisikuache kisa tu umenisomesha. Nakuacha naenda kwa ambaye ana muelekeo ninaoutaka.
Ni kweli unavyosema, ndoa hailazimishwi. Sasa basi, uwe muungwana na uweke kila kitu bayana. Umwambie mpenzi wako kuwa unaona ile mipango ya kuoana haitakuwepo/haitawezeka na umpe sababu.

Hii ni lazi9ma kwa sababu mwenzako alijitolea kukupa faida ya milele ya kukusomesha. Basi haitakuwa vizuri wewe kumuacha bila maelezo na itabidi mkubaliane kuhusu gharama za kukusomesha.

Je, utamlipa na kwa uaratibu gani. Maana hawezi kukusomesha ukatokea ku wakili maarufu, hakimu, au jaji lakinio mwingine ndiyo afaidi matunda ya elimu aliyyolipia, hii haji kabisa.
 
Ukimsomesha makosa ni yako sio ya kwake. Mke mwenyewe hasomeshwi sembuse mpenzi tu?
Ni kwamba huwa hamsikii kila siku wanasema mchumba hasomeshwi? Au inakuaje
Ujinga wao halafu unakuta yeye mwenyewe kaishia STD seven lakini kakazana kusomesha mtoto wa mtu wakati ndugu zake wanalala njaa.
 
Narudia tena kama mwanamke hana hisia na wewe ata ujitolee nini kwake hatojali msaada wako yani ata umpe figo yako kama hisia zake hazipo kwake ni kazi bure
Unayosema ni sawa. Lakini kwa nini aendelee kula mali zake huku hana hisia nae. Si aende huko kwenye hisia zake zinamwelekeza!
 
Ni kweli unavyosema, ndoa hailazimishwi. Sasa basi, uwe muungwana na uweke kila kitubayana. Umwambie mpenzi wako kuwa unaona...
Kulipwa hutalipwa hasara ni kwako. Ukitaka kulipwa muandikishane kabla ya kumsaidia.

Bila kufanya hivyo hata uende mahakamani hutashinda.
 
Back
Top Bottom