Ndo hivyo, mnapobadili gia angani muwe mnajiandaa na madhara kama haya........mimi sanasana nitakwambia nirudishie hivyo vitu au thamani ya pesa maana utavipata vingine huko ulikoamua kwenda.Watu wapo tofauti. Mwingine ana honga akitegemea arudishiwe fadhila.
Ikitokea kinyume na matarajio yake ndo hivyo anapanic
Anyway MHSRP.