Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Watu wapo tofauti. Mwingine ana honga akitegemea arudishiwe fadhila.
Ikitokea kinyume na matarajio yake ndo hivyo anapanic
Ndo hivyo, mnapobadili gia angani muwe mnajiandaa na madhara kama haya........mimi sanasana nitakwambia nirudishie hivyo vitu au thamani ya pesa maana utavipata vingine huko ulikoamua kwenda.
 
Inaelekea huyo njemba alikuwa anampa support demu akiwa chuo na mbususu alikuwa anakula. Na huenda wazazi wake huyo demu ndo walimpeleka chuo na ada wanamlipia wao. Huyo jamaa kakosa tu busara katika maamuzi yake, kashindwa kukubaliana tu na uhalisia wa mambo na kucheki njia nyingine.......mbona kumhonga demu hata kama yupo chuo ni kawaida tu wala huwezi kuchukulia kama unamsomesha?​
Huyu jamaa alikuwa anawekeza eti ili baadae afanye kazi na kuonekana alimlipia mpaka chuo

Jamani kama kuweka hela pelekeni Bank
 
Kijana mmoja ampiga mpenzi wake risasi kumi (10) za kichwa Baada ya kumcheat

Kutokana na watu wanavyodai msichana huyo amemsomeshwa na huyo mchumba wake chuo mpaka kumaliza, alikua akisoma sheria. Baada ya kumaliza akapata mchumba mpya akaamua kumuacha mpenzi wake aliemsomesha chuo mpaka kumaliza.

Mpenzi wake akaamua kuchukua maamuzi ya kumpiga risasi za kichwa hadi kumuua.
Mchumba hasomeshwi, amejitafutia matatizo mwenyewe kwa ujinga wake.
 
Kijana mmoja ampiga mpenzi wake risasi kumi (10) za kichwa Baada ya kumcheat

Kutokana na watu wanavyodai msichana huyo amemsomeshwa na huyo mchumba wake chuo mpaka kumaliza, alikua akisoma sheria. Baada ya kumaliza akapata mchumba mpya akaamua kumuacha mpenzi wake aliemsomesha chuo mpaka kumaliza.

Mpenzi wake akaamua kuchukua maamuzi ya kumpiga risasi za kichwa hadi kumuua.
Jazia nyama katika taarifa mkuu. Majina yao ni nani? Ni wapi huko yametokea hayo? Lini?

Au bado hayajafahamika?
 
Ndo hivyo, mnapobadili gia angani muwe mnajiandaa na madhara kama haya........mimi sanasana nitakwambia nirudishie hivyo vitu au thamani ya pesa maana utavipata vingine huko ulikoamua kwenda.
Ha haa ndo mpaka awe na uwezo wa kukulipa. Wewe fanya kama unatoa zawadi. Kama unajua itakuumiza usihonge kitu kikubwa
 
Ha haa ndo mpaka awe na uwezo wa kukulipa. Wewe fanya kama unatoa zawadi. Kama unajua itakuumiza usihonge kitu kikubwa
Ebooo ungekuwa huna uwezo ungeondoka, mwambie huyo mmiliki mpya akulipie.......sisi wengine ni mtumbwi wa vibwengo, ukipanda kushuka hadi niamue mwenyewe.
 
Ebooo ungekuwa huna uwezo ungeondoka, mwambie huyo mmiliki mpya akulipie.......sisi wengine ni mtumbwi wa vibwengo, ukipanda kushuka hadi niamue mwenyewe.
Basi vumilieni yatakayo wakuta. Utampiga risasi atakufa lakini haitabadilisha ukweli kwamba umepoteza pesa inayokuuma na uwezekano wa kwenda jela ni mkubwa. Utateseka kuliko huyo uliyemuwahisha kwa ground.
 
Yaani uanze tu kusomesha mtoto wa mwenzio ambbaye huna uhakika kama utakuwa naye baadae au la. Huyo mwanamke alikuwa hakupendi ni shida tu ndio zilimfanya ku fake mapenzi. Kama unataka msomi, tafuta ambaye kashamaliza chuo tayari muanze maisha. Kusomesha ni jukumu la mzazi na ndugu zake. Pia usitoe kitu kutegemea fadhila baadae, watu wanabadilika. Hezo hela bora angewekeza au kusomesha watoto yatima asingeumia. Kusomesha mchumba ni kama kuchza kamari kuna kukosa au kupata. Kama una roho ndogo acha kabisa kuchukua majukumu sio yako.
 
Basi vumilieni yatakayo wakuta. Utampiga risasi atakufa lakini haitabadilisha ukweli kwamba umepoteza pesa inayokuuma na uwezekano wa kwenda jela ni mkubwa. Utateseka kuliko huyo uliyemuwahisha kwa ground.
Mwanaume haumwi na hiyo pesa, anaumwa na wewe kumtosa na kwenda kwa njemba nyingine........hiyo ya kurudisha pesa ni kumpooza machungu ingawaje bado inaweza isisaidie.
 
Back
Top Bottom